Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Kama una muda msikilize mwamba. 👇👇

70,761 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля @G7 ⛈❄
@G7 ⛈❄1 год назад

Kumbe huwa kunatyme linaakili eeeh Mm sijui kuhama chama sjui nini hayo ya kwake ila nitampongeza kile kinachotoka kinywani

Фото профиля Solar Heavy
Solar Heavy1 год назад

got a min for a new song?

Фото профиля mkaruka
mkaruka1 год назад

yeye aendelee kusema nasimama na mama

Фото профиля blessing justice
blessing justice1 год назад

Mnyakyusa mwenzangu mshamba kinoma. Wewe c ndo ulikuwa kwenye mick unasema ccm mitano tena? Nakusanua. Sisi wanainchi ndo wanunua ving'amuzi na walipa kodi ya serikari na kuripa garama ya ving'amuzi

Фото профиля Masawe💫
Masawe💫1 год назад

Kuna hoja hapa ukimsikiliza kwa makini

Фото профиля Benedict Mapu
Benedict Mapu1 год назад

Hiii sheria asili yake ni uislam ndo kama haji mtu anaoa anaacha watoto anaoa mwingine akijisikia anaacha tena wale waislam wa hispania wakaona watoto wengi wapo mtaani ndo wakaleta ukimwacha mwanamke umpe Mali baadae ndo ikaenda mpaka kwa hao wazungu wao wali modify tu

Фото профиля ilitarakimura
ilitarakimura1 год назад

Huyu jamaa ana hoja za msingi apewe nafasi zaidi,ni kweli Serikali ni tatizo Serikali unachangia ndoa nyingi kusambaratika kutokana na upendeleo kwa Wanawake,hao wasomi binafsi sion faida ya usomi wao kabisa,hata huko dawati la jinsia hakuna kitu zaidi ya kumtetea Mwanamke.

Фото профиля Adam Mkali
Adam Mkali1 год назад

Juz juz huyu anadai katoka chadema kahamia ccm kanya weee leo tena unailaumu serikali sijui mahakama mifumo ya sheria na nn Tulia hapo gapo dawa ikuingiee

Фото профиля keith Evans
keith Evans1 год назад

Ni Time muafaka Tz kuleta Pre-Nup,watu wanaumia mno

Фото профиля Mpili Jr
Mpili Jr1 год назад

Kaongea point

Фото профиля nasra
nasra1 год назад

Nilitaka niongee mengi kuhusu huyu ila naona yote wenzangu mmeshaniwakilisha🤝🤝

Похожие видео