Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Kampuni gani hii? 😂😂😂😂
69,478 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)
Комментарии: 11

PeterMaganya2 лет назад
Mallesa ya Geita -Dar

Mganga mfawidhi2 лет назад
👊

Nyasbo 5G2 лет назад
Siku Moja Nilipanda Hiyo Basi Toka Singida Kuja Dar Tulipofika Mitaa Ya Tumbi Jamaa Akaanza Hivyo Vibwagizo!! Aisee Noma Sana Ujue..Kama Cjakosea Basi Lenyewe Ni Ester

Mganga mfawidhi2 лет назад
Hili naambiwa ni Mallesa

Thomas Kiluswa2 лет назад
Hiii sio sawa aina tofauti na kuongea na simu wakati una drive

Mganga mfawidhi2 лет назад
Haya

Raymond Nyamwihula2 лет назад
Nchi ina burudani hii 🤣🤣🤣

Mganga mfawidhi2 лет назад
Lakini ni ukumbusho mzuri na muhimu 😂😂😂😂😂

Eng.Shabir Mwangere2 лет назад
Nilikuepo kwenye bus nilikumbuka kuzifuta 😃

Shadrack Senya2 лет назад
Wageni ni wengi bora kawakumbusha abiria dar ina watu wema wachache na watu wa ovyo wengi sana kuliko mikoa yote

Mganga mfawidhi2 лет назад
Kabisaaaa
