Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

11,607 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля بو سالم 🇹🇿
بو سالم 🇹🇿1 год назад

Hawa jamaa naskia wamepona Alhamdulillah

Фото профиля Solar Heavy
Solar Heavy1 год назад

whoa this one is different

Фото профиля Optimist.
Optimist.1 год назад

Daah,Inatokeaje?!

Фото профиля teke
teke1 год назад

Haikuwa leo hii

Фото профиля Rhodes Mcleevy
Rhodes Mcleevy1 год назад

Sio ya Leo hii

Фото профиля AM💡
AM💡1 год назад

Umeme sio mchezo

Фото профиля MD
MD1 год назад

Duuh

Фото профиля fantasy 🤍🧚
fantasy 🤍🧚1 год назад

So sad aisee

Фото профиля Changamlilo
Changamlilo1 год назад

Tanesco au huyo Engineer anayejenga hapo, mmoja anatakiwa awajibike.

Фото профиля Agnostic
Agnostic1 год назад

11Kva oyaaaaa

Фото профиля Mr Roboto👽👽
Mr Roboto👽👽1 год назад

😳😳

Похожие видео

1/365 ✅ Hivi ndivyo nilivyoanza mwaka huu, leo niliona nitoe pesa, lipikwe Biriani, nyama (Roast) na mayai, kisha vikapelekwe kariakoo zaidi ya SAHANI 200, na maji 200. Nashukuru sana ndugu yangu Lulu Mapunda Kwa kufanikisha hili jambo jema, hakika ameendelea kuwa balozi wangu mzuri MUNGU atakulipa ndugu yangu. Kwanini kariakoo? Wote mnajua kijana wenu nilitekwa 23/6 kwasababu ya MISIMAMO yangu ya kuwasemea watu wa Kariakoo mtandaoni. Nilitekwa na kuenda kupigwa RISASI ya KICHWA huko mbuga ya KATAVI ili niliwe na MAMBA na VIBOKO, ikishindikana niliwe na WANYAMA wa kali wa hiyo MBUGA. Ila Mkono wa MUNGU ulikuwa na mimi, haya mabaya yote waliyopanga dhidi yangu hayakuweza kitimia, leo naishi. Kupitia huo mkasa, nikaona leo nikatembelee jamaa ambao walitamani leo wawe na FAMILIA ZAO kama sisi, ila kutokana na ugumu wa maisha wameingia mzigoni kupiganisha. Nimeona niwapunguzie ukali wa maisha leo, wasinunue chakula wala maji mchana wa leo hao watu 200 mimi nitasimamia bill hiyo. Tuendelee kupambana, tusiache kuwakumbuka wenye uhitaji maana kuwasaidia hao ndio sadaka ya Kweli ambayo MUNGU Huipokea. Lakini pia lazima niwashukuru Team nzima walioshirikiana na LULU kukamilisha hili, kipekee nimshukuru home BOY HOLLY STAR kwa kutupa GARI lililowezesha kubeba chakula hiki mpaka kariakoo. Mwaka 2025 ukawe mwaka mzuri kwetu wote wapambanaji, kila mlango tutakaobisha Mungu akafungue. Lengo ni kufika wote nchi ya ASALI NA MAZIWA. Asanteni sana KARIAKOO kwa kupokea hii sadaka yangu, maana mngeweza kuikataa, ila nawashukuru sana kwa ushirikiano, na niwatakie kila lakheri kwenye mapambano yenu 2025. SATIVA17🫡

SIR TIVA

99,962 просмотров • 1 год назад