Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

11,607 Aufrufe โ€ข vor 1 Jahr โ€ขvia X (Twitter)

11 Kommentare

Profilbild von ุจูˆ ุณุงู„ู… ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
ุจูˆ ุณุงู„ู… ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟvor 1 Jahr

Hawa jamaa naskia wamepona Alhamdulillah

Profilbild von Solar Heavy
Solar Heavyvor 1 Jahr

whoa this one is different

Profilbild von Optimist.
Optimist.vor 1 Jahr

Daah,Inatokeaje?!

Profilbild von teke
tekevor 1 Jahr

Haikuwa leo hii

Profilbild von Rhodes Mcleevy
Rhodes Mcleevyvor 1 Jahr

Sio ya Leo hii

Profilbild von AM๐Ÿ’ก
AM๐Ÿ’กvor 1 Jahr

Umeme sio mchezo

Profilbild von MD
MDvor 1 Jahr

Duuh

Profilbild von fantasy ๐Ÿค๐Ÿงš
fantasy ๐Ÿค๐Ÿงšvor 1 Jahr

So sad aisee

Profilbild von Changamlilo
Changamlilovor 1 Jahr

Tanesco au huyo Engineer anayejenga hapo, mmoja anatakiwa awajibike.

Profilbild von Agnostic
Agnosticvor 1 Jahr

11Kva oyaaaaa

Profilbild von Mr Roboto๐Ÿ‘ฝ๐Ÿ‘ฝ
Mr Roboto๐Ÿ‘ฝ๐Ÿ‘ฝvor 1 Jahr

๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ

ร„hnliche Videos

1/365 โœ… Hivi ndivyo nilivyoanza mwaka huu, leo niliona nitoe pesa, lipikwe Biriani, nyama (Roast) na mayai, kisha vikapelekwe kariakoo zaidi ya SAHANI 200, na maji 200. Nashukuru sana ndugu yangu Lulu Mapunda Kwa kufanikisha hili jambo jema, hakika ameendelea kuwa balozi wangu mzuri MUNGU atakulipa ndugu yangu. Kwanini kariakoo? Wote mnajua kijana wenu nilitekwa 23/6 kwasababu ya MISIMAMO yangu ya kuwasemea watu wa Kariakoo mtandaoni. Nilitekwa na kuenda kupigwa RISASI ya KICHWA huko mbuga ya KATAVI ili niliwe na MAMBA na VIBOKO, ikishindikana niliwe na WANYAMA wa kali wa hiyo MBUGA. Ila Mkono wa MUNGU ulikuwa na mimi, haya mabaya yote waliyopanga dhidi yangu hayakuweza kitimia, leo naishi. Kupitia huo mkasa, nikaona leo nikatembelee jamaa ambao walitamani leo wawe na FAMILIA ZAO kama sisi, ila kutokana na ugumu wa maisha wameingia mzigoni kupiganisha. Nimeona niwapunguzie ukali wa maisha leo, wasinunue chakula wala maji mchana wa leo hao watu 200 mimi nitasimamia bill hiyo. Tuendelee kupambana, tusiache kuwakumbuka wenye uhitaji maana kuwasaidia hao ndio sadaka ya Kweli ambayo MUNGU Huipokea. Lakini pia lazima niwashukuru Team nzima walioshirikiana na LULU kukamilisha hili, kipekee nimshukuru home BOY HOLLY STAR kwa kutupa GARI lililowezesha kubeba chakula hiki mpaka kariakoo. Mwaka 2025 ukawe mwaka mzuri kwetu wote wapambanaji, kila mlango tutakaobisha Mungu akafungue. Lengo ni kufika wote nchi ya ASALI NA MAZIWA. Asanteni sana KARIAKOO kwa kupokea hii sadaka yangu, maana mngeweza kuikataa, ila nawashukuru sana kwa ushirikiano, na niwatakie kila lakheri kwenye mapambano yenu 2025. SATIVA17๐Ÿซก

SIR TIVA

99,962 Aufrufe โ€ข vor 1 Jahr