Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

11,607 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

11 Yorum

بو سالم 🇹🇿 profil fotoğrafı
بو سالم 🇹🇿1 yıl önce

Hawa jamaa naskia wamepona Alhamdulillah

Solar Heavy profil fotoğrafı
Solar Heavy1 yıl önce

whoa this one is different

Optimist. profil fotoğrafı
Optimist.1 yıl önce

Daah,Inatokeaje?!

teke profil fotoğrafı
teke1 yıl önce

Haikuwa leo hii

Rhodes Mcleevy profil fotoğrafı
Rhodes Mcleevy1 yıl önce

Sio ya Leo hii

AM💡 profil fotoğrafı
AM💡1 yıl önce

Umeme sio mchezo

MD profil fotoğrafı
MD1 yıl önce

Duuh

fantasy 🤍🧚 profil fotoğrafı
fantasy 🤍🧚1 yıl önce

So sad aisee

Changamlilo profil fotoğrafı
Changamlilo1 yıl önce

Tanesco au huyo Engineer anayejenga hapo, mmoja anatakiwa awajibike.

Agnostic profil fotoğrafı
Agnostic1 yıl önce

11Kva oyaaaaa

Mr Roboto👽👽 profil fotoğrafı
Mr Roboto👽👽1 yıl önce

😳😳

Benzer Videolar

1/365 ✅ Hivi ndivyo nilivyoanza mwaka huu, leo niliona nitoe pesa, lipikwe Biriani, nyama (Roast) na mayai, kisha vikapelekwe kariakoo zaidi ya SAHANI 200, na maji 200. Nashukuru sana ndugu yangu Lulu Mapunda Kwa kufanikisha hili jambo jema, hakika ameendelea kuwa balozi wangu mzuri MUNGU atakulipa ndugu yangu. Kwanini kariakoo? Wote mnajua kijana wenu nilitekwa 23/6 kwasababu ya MISIMAMO yangu ya kuwasemea watu wa Kariakoo mtandaoni. Nilitekwa na kuenda kupigwa RISASI ya KICHWA huko mbuga ya KATAVI ili niliwe na MAMBA na VIBOKO, ikishindikana niliwe na WANYAMA wa kali wa hiyo MBUGA. Ila Mkono wa MUNGU ulikuwa na mimi, haya mabaya yote waliyopanga dhidi yangu hayakuweza kitimia, leo naishi. Kupitia huo mkasa, nikaona leo nikatembelee jamaa ambao walitamani leo wawe na FAMILIA ZAO kama sisi, ila kutokana na ugumu wa maisha wameingia mzigoni kupiganisha. Nimeona niwapunguzie ukali wa maisha leo, wasinunue chakula wala maji mchana wa leo hao watu 200 mimi nitasimamia bill hiyo. Tuendelee kupambana, tusiache kuwakumbuka wenye uhitaji maana kuwasaidia hao ndio sadaka ya Kweli ambayo MUNGU Huipokea. Lakini pia lazima niwashukuru Team nzima walioshirikiana na LULU kukamilisha hili, kipekee nimshukuru home BOY HOLLY STAR kwa kutupa GARI lililowezesha kubeba chakula hiki mpaka kariakoo. Mwaka 2025 ukawe mwaka mzuri kwetu wote wapambanaji, kila mlango tutakaobisha Mungu akafungue. Lengo ni kufika wote nchi ya ASALI NA MAZIWA. Asanteni sana KARIAKOO kwa kupokea hii sadaka yangu, maana mngeweza kuikataa, ila nawashukuru sana kwa ushirikiano, na niwatakie kila lakheri kwenye mapambano yenu 2025. SATIVA17🫡

SIR TIVA

99,962 görüntüleme • 1 yıl önce