ๆญฃๅœจๅŠ ่ฝฝ่ง†้ข‘...

่ง†้ข‘ๅŠ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ

11,607 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 1 ๅนดๅ‰ โ€ขvia X (Twitter)

11 ๆก่ฏ„่ฎบ

ุจูˆ ุณุงู„ู… ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ็š„ๅคดๅƒ
ุจูˆ ุณุงู„ู… ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ1 ๅนดๅ‰

Hawa jamaa naskia wamepona Alhamdulillah

Solar Heavy ็š„ๅคดๅƒ
Solar Heavy1 ๅนดๅ‰

whoa this one is different

Optimist. ็š„ๅคดๅƒ
Optimist.1 ๅนดๅ‰

Daah,Inatokeaje?!

teke ็š„ๅคดๅƒ
teke1 ๅนดๅ‰

Haikuwa leo hii

Rhodes Mcleevy ็š„ๅคดๅƒ
Rhodes Mcleevy1 ๅนดๅ‰

Sio ya Leo hii

AM๐Ÿ’ก ็š„ๅคดๅƒ
AM๐Ÿ’ก1 ๅนดๅ‰

Umeme sio mchezo

MD ็š„ๅคดๅƒ
MD1 ๅนดๅ‰

Duuh

fantasy ๐Ÿค๐Ÿงš ็š„ๅคดๅƒ
fantasy ๐Ÿค๐Ÿงš1 ๅนดๅ‰

So sad aisee

Changamlilo ็š„ๅคดๅƒ
Changamlilo1 ๅนดๅ‰

Tanesco au huyo Engineer anayejenga hapo, mmoja anatakiwa awajibike.

Agnostic ็š„ๅคดๅƒ
Agnostic1 ๅนดๅ‰

11Kva oyaaaaa

Mr Roboto๐Ÿ‘ฝ๐Ÿ‘ฝ ็š„ๅคดๅƒ
Mr Roboto๐Ÿ‘ฝ๐Ÿ‘ฝ1 ๅนดๅ‰

๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ

็›ธๅ…ณ่ง†้ข‘

1/365 โœ… Hivi ndivyo nilivyoanza mwaka huu, leo niliona nitoe pesa, lipikwe Biriani, nyama (Roast) na mayai, kisha vikapelekwe kariakoo zaidi ya SAHANI 200, na maji 200. Nashukuru sana ndugu yangu Lulu Mapunda Kwa kufanikisha hili jambo jema, hakika ameendelea kuwa balozi wangu mzuri MUNGU atakulipa ndugu yangu. Kwanini kariakoo? Wote mnajua kijana wenu nilitekwa 23/6 kwasababu ya MISIMAMO yangu ya kuwasemea watu wa Kariakoo mtandaoni. Nilitekwa na kuenda kupigwa RISASI ya KICHWA huko mbuga ya KATAVI ili niliwe na MAMBA na VIBOKO, ikishindikana niliwe na WANYAMA wa kali wa hiyo MBUGA. Ila Mkono wa MUNGU ulikuwa na mimi, haya mabaya yote waliyopanga dhidi yangu hayakuweza kitimia, leo naishi. Kupitia huo mkasa, nikaona leo nikatembelee jamaa ambao walitamani leo wawe na FAMILIA ZAO kama sisi, ila kutokana na ugumu wa maisha wameingia mzigoni kupiganisha. Nimeona niwapunguzie ukali wa maisha leo, wasinunue chakula wala maji mchana wa leo hao watu 200 mimi nitasimamia bill hiyo. Tuendelee kupambana, tusiache kuwakumbuka wenye uhitaji maana kuwasaidia hao ndio sadaka ya Kweli ambayo MUNGU Huipokea. Lakini pia lazima niwashukuru Team nzima walioshirikiana na LULU kukamilisha hili, kipekee nimshukuru home BOY HOLLY STAR kwa kutupa GARI lililowezesha kubeba chakula hiki mpaka kariakoo. Mwaka 2025 ukawe mwaka mzuri kwetu wote wapambanaji, kila mlango tutakaobisha Mungu akafungue. Lengo ni kufika wote nchi ya ASALI NA MAZIWA. Asanteni sana KARIAKOO kwa kupokea hii sadaka yangu, maana mngeweza kuikataa, ila nawashukuru sana kwa ushirikiano, na niwatakie kila lakheri kwenye mapambano yenu 2025. SATIVA17๐Ÿซก

SIR TIVA

99,962 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 1 ๅนดๅ‰