正在加载视频...
视频加载失败
Karibu UDOM!
10 条评论

MKIBOSHO1 年前
Hiyo G.P.A ni ndogo Sana,,kuanzia 3.1 Mimi nimesoma hapo natural science school of physical science naongea ninachokijuwa

Not Tanzania1 年前
Hizo Masters uhakika wanetu? Nisije nikaacha VETA alafu baadae nikarudishwa

NUJOMA ⭐⭐1 年前
Kwanin msiweke ulazima wa wanafunzi wote kufanya Check up ya Afya pindi vyuo vinavyofunguliwa!

Mahmood Mallya1 年前
Sisi wenye GPA kubwa hamtutendei Haki wekeni isiwe under 3.5

mTu MwEuSi1 年前
bora, walikuwa wanatutisha wenye G.P.A chini ya 3.5 uwezi kusoma sasa ngoja nimwambie mwanangu @NDESSYABILITY aje akasome mana alipata 2.7 ya ualimu

Kamala Dickson1 年前
GPA ya 2.7 masters? Mbona ndogo walau upper

ally blessings1 年前
Hvi kuna mtu anafauli kwa GPA ya 2.7 😭😭😭

Democracy1 年前
Waziri kashatwambia twende VETA nyie mnaleta mambo ya masters

Mshunuzi1 年前
Lini Chuo changu pendwa mtaanzisha Masters of Education in Psychology??

Dr. Alex Negele ,MD1 年前
Diploma tena?
