正在加载视频...
视频加载失败
Keep streaming “UBUYU” on all DSPs #ubuyu
11,384 次观看 • 11 个月前 •via X (Twitter)
15 条评论

Mimi kama shabiki Yako I know haujali...ila Mimi nimesikitika sana .I need the video...Fanya mpango irudi. communicate please I love you lakini why this bro ..na viewers wetu pia

Maintain clarity in every shot with HD quality. View more: 👇 Spotted it? Comments have the same 👇

Hiii ni ngoma au takataka 🚽

Ubuyu

🔥🔥🔥🔥

we miso misondoo

Hata sajent Hana menej ment mbovu kama yako boss wimbo umetoka Jana Leo audio ndoimesha sambazwa kwenye all platform 🚮

Amna wimbo apo ata peten kakuacha mbali sana itoshe kusema au basi😂

Kama nimemuona queen Darlene hapo 🧐

Hmn wimbo hapi

Hello @OfficialAliKiba please hit my DM, I have business with you

Umegundua Mbosso baada ya kutoa EP ana play humble card ikiwemo kuvaa simple zaidi kwenye media tour hata jukwaani? Kwasasa Mbosso yupo nyuma ya jamaa ana mzigo kinoma ambapo alikuwa na uwezo wa kuonesha maisha ya gharama ila amechagua karata hii ambayo ni sahihi zaidi.

Life has only two options, to uninstall or to update. Natamani kuona chidbenz akianza historia mpya. Namuombea pia🙏🏿.

"Tumekwisha waandikia wenzetu wa Simba SC, kwamba hakuna haja ya kusumbuana na timu nyingine kutoka mbali. Kwenye ile sherehe yao na sherehe yetu tupige home and away, sisi twende kwenye sherehe yao na wao waje kwenye sherehe yetu tupimane vizuri kwamba msimu ujao tena? Au wamebadilika?" - Ally Kamwe, Afisa Habari Yanga SC

Sijajua ni Utamaduni wetu? But most of the Countries, Summer ndio kipindi ambacho ni Muda wa Mapumziko, Ambapo watu husafiri na kwenda sehemu mbali mbali kwa ajili ya ku-enjoy na Ku-refresh mind, mostly Gen Z, kutokana na Vyuo muda huo vinakuwa vimefungwa. Sasa Kwa Tanzania, Vintage Space wanafanyaga Tamasha karibia kila mwaka, ambapo mostly vijana hukutana wakiwa in Summer Fashion Clothes na ku-enjoy pamoja. Mwaka huu wamefanya Tamasha pale Warehouse Masaki, ilikuwa tarehe 5, July. Angalia umati ulivyo itika, pata na Pictures za Gen Z in Fashion. Video kwa Comments👇
