Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

Keep streaming “UBUYU” on all DSPs #ubuyu

11,392 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)

15 Kommentare

Profilbild von gusa achia twende kwao ubaya ubwela
gusa achia twende kwao ubaya ubwelavor 1 Jahr

Mimi kama shabiki Yako I know haujali...ila Mimi nimesikitika sana .I need the video...Fanya mpango irudi. communicate please I love you lakini why this bro ..na viewers wetu pia

Profilbild von Blylonor
Blylonorvor 1 Jahr

Maintain clarity in every shot with HD quality. View more: 👇 Spotted it? Comments have the same 👇

Profilbild von AyoKizzy
AyoKizzyvor 1 Jahr

Hiii ni ngoma au takataka 🚽

Profilbild von Rouhan
Rouhanvor 1 Jahr

Ubuyu

Profilbild von jaja ✨🇹🇿
jaja ✨🇹🇿vor 1 Jahr

🔥🔥🔥🔥

Profilbild von Kadehe JR
Kadehe JRvor 1 Jahr

we miso misondoo

Profilbild von sarange 🎶🤎🌴
sarange 🎶🤎🌴vor 1 Jahr

Hata sajent Hana menej ment mbovu kama yako boss wimbo umetoka Jana Leo audio ndoimesha sambazwa kwenye all platform 🚮

Profilbild von Lenzo mnyama
Lenzo mnyamavor 1 Jahr

Amna wimbo apo ata peten kakuacha mbali sana itoshe kusema au basi😂

Profilbild von Nyambiza jr
Nyambiza jrvor 1 Jahr

Kama nimemuona queen Darlene hapo 🧐

Profilbild von Jstream
Jstreamvor 1 Jahr

Hmn wimbo hapi

Profilbild von Charlz
Charlzvor 1 Jahr

Hello @OfficialAliKiba please hit my DM, I have business with you

Profilbild von SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPOvor 1 Jahr

Umegundua Mbosso baada ya kutoa EP ana play humble card ikiwemo kuvaa simple zaidi kwenye media tour hata jukwaani? Kwasasa Mbosso yupo nyuma ya jamaa ana mzigo kinoma ambapo alikuwa na uwezo wa kuonesha maisha ya gharama ila amechagua karata hii ambayo ni sahihi zaidi.

Profilbild von Thom Mnkondya
Thom Mnkondyavor 1 Jahr

Life has only two options, to uninstall or to update. Natamani kuona chidbenz akianza historia mpya. Namuombea pia🙏🏿.

Profilbild von Swahili Times
Swahili Timesvor 1 Jahr

"Tumekwisha waandikia wenzetu wa Simba SC, kwamba hakuna haja ya kusumbuana na timu nyingine kutoka mbali. Kwenye ile sherehe yao na sherehe yetu tupige home and away, sisi twende kwenye sherehe yao na wao waje kwenye sherehe yetu tupimane vizuri kwamba msimu ujao tena? Au wamebadilika?" - Ally Kamwe, Afisa Habari Yanga SC

Profilbild von Latto 𝕏
Latto 𝕏vor 1 Jahr

Sijajua ni Utamaduni wetu? But most of the Countries, Summer ndio kipindi ambacho ni Muda wa Mapumziko, Ambapo watu husafiri na kwenda sehemu mbali mbali kwa ajili ya ku-enjoy na Ku-refresh mind, mostly Gen Z, kutokana na Vyuo muda huo vinakuwa vimefungwa. Sasa Kwa Tanzania, Vintage Space wanafanyaga Tamasha karibia kila mwaka, ambapo mostly vijana hukutana wakiwa in Summer Fashion Clothes na ku-enjoy pamoja. Mwaka huu wamefanya Tamasha pale Warehouse Masaki, ilikuwa tarehe 5, July. Angalia umati ulivyo itika, pata na Pictures za Gen Z in Fashion. Video kwa Comments👇

Ähnliche Videos