Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Keep streaming “UBUYU” on all DSPs #ubuyu

11,392 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 15

Фото профиля gusa achia twende kwao ubaya ubwela
gusa achia twende kwao ubaya ubwela1 год назад

Mimi kama shabiki Yako I know haujali...ila Mimi nimesikitika sana .I need the video...Fanya mpango irudi. communicate please I love you lakini why this bro ..na viewers wetu pia

Фото профиля Blylonor
Blylonor1 год назад

Maintain clarity in every shot with HD quality. View more: 👇 Spotted it? Comments have the same 👇

Фото профиля AyoKizzy
AyoKizzy1 год назад

Hiii ni ngoma au takataka 🚽

Фото профиля Rouhan
Rouhan1 год назад

Ubuyu

Фото профиля jaja ✨🇹🇿
jaja ✨🇹🇿1 год назад

🔥🔥🔥🔥

Фото профиля Kadehe JR
Kadehe JR1 год назад

we miso misondoo

Фото профиля sarange 🎶🤎🌴
sarange 🎶🤎🌴1 год назад

Hata sajent Hana menej ment mbovu kama yako boss wimbo umetoka Jana Leo audio ndoimesha sambazwa kwenye all platform 🚮

Фото профиля Lenzo mnyama
Lenzo mnyama1 год назад

Amna wimbo apo ata peten kakuacha mbali sana itoshe kusema au basi😂

Фото профиля Nyambiza jr
Nyambiza jr1 год назад

Kama nimemuona queen Darlene hapo 🧐

Фото профиля Jstream
Jstream1 год назад

Hmn wimbo hapi

Фото профиля Charlz
Charlz1 год назад

Hello @OfficialAliKiba please hit my DM, I have business with you

Фото профиля SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO1 год назад

Umegundua Mbosso baada ya kutoa EP ana play humble card ikiwemo kuvaa simple zaidi kwenye media tour hata jukwaani? Kwasasa Mbosso yupo nyuma ya jamaa ana mzigo kinoma ambapo alikuwa na uwezo wa kuonesha maisha ya gharama ila amechagua karata hii ambayo ni sahihi zaidi.

Фото профиля Thom Mnkondya
Thom Mnkondya1 год назад

Life has only two options, to uninstall or to update. Natamani kuona chidbenz akianza historia mpya. Namuombea pia🙏🏿.

Фото профиля Swahili Times
Swahili Times1 год назад

"Tumekwisha waandikia wenzetu wa Simba SC, kwamba hakuna haja ya kusumbuana na timu nyingine kutoka mbali. Kwenye ile sherehe yao na sherehe yetu tupige home and away, sisi twende kwenye sherehe yao na wao waje kwenye sherehe yetu tupimane vizuri kwamba msimu ujao tena? Au wamebadilika?" - Ally Kamwe, Afisa Habari Yanga SC

Фото профиля Latto 𝕏
Latto 𝕏1 год назад

Sijajua ni Utamaduni wetu? But most of the Countries, Summer ndio kipindi ambacho ni Muda wa Mapumziko, Ambapo watu husafiri na kwenda sehemu mbali mbali kwa ajili ya ku-enjoy na Ku-refresh mind, mostly Gen Z, kutokana na Vyuo muda huo vinakuwa vimefungwa. Sasa Kwa Tanzania, Vintage Space wanafanyaga Tamasha karibia kila mwaka, ambapo mostly vijana hukutana wakiwa in Summer Fashion Clothes na ku-enjoy pamoja. Mwaka huu wamefanya Tamasha pale Warehouse Masaki, ilikuwa tarehe 5, July. Angalia umati ulivyo itika, pata na Pictures za Gen Z in Fashion. Video kwa Comments👇

Похожие видео