Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Kenya wanapumulia kwa OXYGEN za mitungi😦
36,008 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)
Комментарии: 11

Nimesikiliza hapa, NIKAOGOPA hata hilo deni letu la 35% Oyaaa 😦😦😦 Mama TUSIKOPE TENA, please!! Tulipe kwanza hayo MADENI yashuke mpaka 15% Video kwa Comments👇🏾

Watu wanajiuliza kwa nini nchi za Africa haziendelei? Sababu ni hii👇🏾

Ok let’s get this straight! Nakubaliana na izo facts : swali la kujiuluza kwa nini sarafu ya Kenya iko na thamani zaidi ya Tanzania: na deni lao ni 70.10% na Tanzania ni 35% tu. Jibu: Pamoja na maandamano yanayoendelea nchini Kenya, bado Inaonekana ni nchi iliyotulia kisiasa kwa kuwapa wananchi wake katiba inatoendana na wakati waliokuwa nao. CCM hawataki ilo wako radhi sarafu isiwe na thamani kwa ajili ya siasa. Nafikiri watakao soma hii reply wataona umuhimu wa kuwa na katiba mpya Tanzania #KatibaMpya .

Huyu ni mbuni hajielewi Hamna mtu anachukia madeni, tunachukia wizi wa serikali ya CCM Yanayokopwa yanapelekwa wapi? Mbona wezi wa ripoti za CAG hawashughulikiwi? Wakope hata 100% lakini ionekane imetumikaje, na wezi washughulikiwe

Ripoti ya @IMFNews iliyotoka April 2024, imeeleza Deni la Tanzania ukigawanya na mapato yetu ni asilimia 46.1% na sio 35% na Kenya 73.0%. Kwa Taarifa zaidi ili kila mmoja apate taarifa kwa usahihi, gusa link hii hapo chini 👇Uk. 18 Follow: @DodomaDigest kwa Taarifa za Uhakika zaidi.

Yani tunashindana mpaka kufilisika, kweli kufilisika Nako ni sehemu ya kujipongeza kwa kumtazama jirani alivyofilisika?? Mawazo yangu ya kipuuzi yaachwe kipuuzi tafadhali.

Tumtag @SuluhuSamia aone hii

Masudi anamuangalia jamaa anasema uyu ni msenge sana😂😂😂

Hata sisi tutafika huko kama hali tunayokwenda ni hii

Letu likifika huko wanachukua MT. Kilimanjaro

Uwongoooooooooooooo



