Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

Kenyan comedians. Vs. Tanzanian comedians

134,878 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

11 Yorum

NYALALI profil fotoğrafı
NYALALI1 yıl önce

Ukiacha Maradhi, Ujinga na Umasikini, Uchawa ni tatizo jingine kubwa sana Tz, na unazidi kuenea kwa kasi kubwa, sio kwa wananchi wa kawaida tu, leo hii Tz huwezi pata wasanii hata 5 tu ambao ni upinzani, tupo kwenye taifa la praise&worship kwa mama, kila kitu mama.

Building 7 Boutique profil fotoğrafı
Building 7 Boutique1 yıl önce

🇺🇸 Trump: Better Coverage than 5G...Can you hear us now? 🇺🇸 Get ready to celebrate the 2025 Presidential Inauguration!

Shemasi Jimmy profil fotoğrafı
Shemasi Jimmy1 yıl önce

Elimu, Elimu, Elimu. Ukitaka kuua jamii yeyote ile. Haribu elimu. Utapata wanachi mazuzu, viongozi wa kawaida. Viongozi wa dini wenye kujiprndekeza nk

Prof Et Al profil fotoğrafı
Prof Et Al1 yıl önce

Hawa baada ya huu uchawa walioonyesha wamepoteza washabiki wengi sana

PaYRoLL🪙 profil fotoğrafı
PaYRoLL🪙1 yıl önce

Hizo comedy za akina coy labda zinawachekesha akina Wasira na Mzee Makamba😅

Blank profil fotoğrafı
Blank1 yıl önce

Kenyan comedians are well educated, not like Tz comedians. Sisi tupo na ududu mwingi kichwani na ndiyo taswira wanatoa ya watanzania waliowengi mtaani. Angalia contents zao, mitazamo pia unapata jibu tuna jamii ya kipuuzi ambayo tuna kazi sana kubadilisha

Hashmïus ♊ profil fotoğrafı
Hashmïus ♊1 yıl önce

Hawa wanajielewa....

Hamisi Jamuhuri profil fotoğrafı
Hamisi Jamuhuri1 yıl önce

Wenye Akili Vs wajinga

Bonavista profil fotoğrafı
Bonavista1 yıl önce

Shikamoo Elimu

Uncle G profil fotoğrafı
Uncle G1 yıl önce

@LeonardMbilinyi Wasanii wa Tanzania ni wasenge wasenge

I'M LIVING BLESSED profil fotoğrafı
I'M LIVING BLESSED1 yıl önce

Njaa mbaya kaka…

Benzer Videolar