Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Kenyan comedians. Vs. Tanzanian comedians
11 Yorum

Ukiacha Maradhi, Ujinga na Umasikini, Uchawa ni tatizo jingine kubwa sana Tz, na unazidi kuenea kwa kasi kubwa, sio kwa wananchi wa kawaida tu, leo hii Tz huwezi pata wasanii hata 5 tu ambao ni upinzani, tupo kwenye taifa la praise&worship kwa mama, kila kitu mama.

🇺🇸 Trump: Better Coverage than 5G...Can you hear us now? 🇺🇸 Get ready to celebrate the 2025 Presidential Inauguration!

Elimu, Elimu, Elimu. Ukitaka kuua jamii yeyote ile. Haribu elimu. Utapata wanachi mazuzu, viongozi wa kawaida. Viongozi wa dini wenye kujiprndekeza nk

Hawa baada ya huu uchawa walioonyesha wamepoteza washabiki wengi sana

Hizo comedy za akina coy labda zinawachekesha akina Wasira na Mzee Makamba😅

Kenyan comedians are well educated, not like Tz comedians. Sisi tupo na ududu mwingi kichwani na ndiyo taswira wanatoa ya watanzania waliowengi mtaani. Angalia contents zao, mitazamo pia unapata jibu tuna jamii ya kipuuzi ambayo tuna kazi sana kubadilisha

Hawa wanajielewa....

Wenye Akili Vs wajinga

Shikamoo Elimu

@LeonardMbilinyi Wasanii wa Tanzania ni wasenge wasenge

Njaa mbaya kaka…
