Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Kenyan comedians. Vs. Tanzanian comedians

134,878 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля NYALALI
NYALALI1 год назад

Ukiacha Maradhi, Ujinga na Umasikini, Uchawa ni tatizo jingine kubwa sana Tz, na unazidi kuenea kwa kasi kubwa, sio kwa wananchi wa kawaida tu, leo hii Tz huwezi pata wasanii hata 5 tu ambao ni upinzani, tupo kwenye taifa la praise&worship kwa mama, kila kitu mama.

Фото профиля Building 7 Boutique
Building 7 Boutique1 год назад

🇺🇸 Trump: Better Coverage than 5G...Can you hear us now? 🇺🇸 Get ready to celebrate the 2025 Presidential Inauguration!

Фото профиля Shemasi Jimmy
Shemasi Jimmy1 год назад

Elimu, Elimu, Elimu. Ukitaka kuua jamii yeyote ile. Haribu elimu. Utapata wanachi mazuzu, viongozi wa kawaida. Viongozi wa dini wenye kujiprndekeza nk

Фото профиля Prof Et Al
Prof Et Al1 год назад

Hawa baada ya huu uchawa walioonyesha wamepoteza washabiki wengi sana

Фото профиля PaYRoLL🪙
PaYRoLL🪙1 год назад

Hizo comedy za akina coy labda zinawachekesha akina Wasira na Mzee Makamba😅

Фото профиля Blank
Blank1 год назад

Kenyan comedians are well educated, not like Tz comedians. Sisi tupo na ududu mwingi kichwani na ndiyo taswira wanatoa ya watanzania waliowengi mtaani. Angalia contents zao, mitazamo pia unapata jibu tuna jamii ya kipuuzi ambayo tuna kazi sana kubadilisha

Фото профиля Hashmïus ♊
Hashmïus ♊1 год назад

Hawa wanajielewa....

Фото профиля Hamisi Jamuhuri
Hamisi Jamuhuri1 год назад

Wenye Akili Vs wajinga

Фото профиля Bonavista
Bonavista1 год назад

Shikamoo Elimu

Фото профиля Uncle G
Uncle G1 год назад

@LeonardMbilinyi Wasanii wa Tanzania ni wasenge wasenge

Фото профиля I'M LIVING BLESSED
I'M LIVING BLESSED1 год назад

Njaa mbaya kaka…

Похожие видео