Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Kenyan comedians. Vs. Tanzanian comedians

134,878 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

NYALALI's profile picture
NYALALI1 year ago

Ukiacha Maradhi, Ujinga na Umasikini, Uchawa ni tatizo jingine kubwa sana Tz, na unazidi kuenea kwa kasi kubwa, sio kwa wananchi wa kawaida tu, leo hii Tz huwezi pata wasanii hata 5 tu ambao ni upinzani, tupo kwenye taifa la praise&worship kwa mama, kila kitu mama.

Building 7 Boutique's profile picture
Building 7 Boutique1 year ago

🇺🇸 Trump: Better Coverage than 5G...Can you hear us now? 🇺🇸 Get ready to celebrate the 2025 Presidential Inauguration!

Shemasi Jimmy's profile picture
Shemasi Jimmy1 year ago

Elimu, Elimu, Elimu. Ukitaka kuua jamii yeyote ile. Haribu elimu. Utapata wanachi mazuzu, viongozi wa kawaida. Viongozi wa dini wenye kujiprndekeza nk

Prof Et Al's profile picture
Prof Et Al1 year ago

Hawa baada ya huu uchawa walioonyesha wamepoteza washabiki wengi sana

PaYRoLL🪙's profile picture
PaYRoLL🪙1 year ago

Hizo comedy za akina coy labda zinawachekesha akina Wasira na Mzee Makamba😅

Blank's profile picture
Blank1 year ago

Kenyan comedians are well educated, not like Tz comedians. Sisi tupo na ududu mwingi kichwani na ndiyo taswira wanatoa ya watanzania waliowengi mtaani. Angalia contents zao, mitazamo pia unapata jibu tuna jamii ya kipuuzi ambayo tuna kazi sana kubadilisha

Hashmïus ♊'s profile picture
Hashmïus ♊1 year ago

Hawa wanajielewa....

Hamisi Jamuhuri's profile picture
Hamisi Jamuhuri1 year ago

Wenye Akili Vs wajinga

Bonavista's profile picture
Bonavista1 year ago

Shikamoo Elimu

Uncle G's profile picture
Uncle G1 year ago

@LeonardMbilinyi Wasanii wa Tanzania ni wasenge wasenge

I'M LIVING BLESSED's profile picture
I'M LIVING BLESSED1 year ago

Njaa mbaya kaka…

Related Videos