Sensitive content

This media may contain sensitive content.

Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

234,729 Aufrufe • vor 8 Monaten •via X (Twitter)

0 Kommentare

Keine Kommentare verfügbar

Kommentare vom Original-Post werden hier angezeigt

Ähnliche Videos

kimochiberlian
0:01

Sensitive content

kimochiberlian

KisssDong

153,712 Aufrufe • vor 1 Jahr

VIDEO: Watanzania wameaswa kuacha kusikiliza wanaharakati na wanasiasa wanaochochea vurugu na uvunjifu wa amani nchini, kwa kuwa watu hao hawana nia njema kwa Taifa Rai hiyo imeitolewa leo, Alhamisi Juni 04. 2026, Jijini Dar es Salaam na Mwanafalsafa wa Pan-Afrika kutoka Zimbabwe, Dkt. Joshua Maponga wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari uliohusu uzinduzi wa makala inayozungumzia Matukio yaliyotokea Nchini kabla na baada ya Oktoba 29.2025 (Siku ya Uchaguzi Mkuu), makala ambayo imeandaliwa na kampuni ya African Spear Head Media Katika maelezo yake, Dkt. Maponga amedai kuwa baadhi ya mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO's) yamekuwa yakipokea fedha kutoka mataifa ya nje kwa lengo la kuhamasisha vitendo vinavyokwenda kinyume na maadili na amani ya nchi, ikiwemo vurugu na migawanyiko kati ya wananchi na viongozi wao, ambapo amesema hali hiyo ni hatari kwa ustawi na usalama wa Taifa, hivyo kushauri serikali kuchukua hatua za kufanya uhakiki wa mashirika hayo ili kubaini vyanzo vya fedha wanazopata na namna zinavyotumika Aidha, amedai kuwa watu wanaochochea vurugu mara nyingi huishi nje ya nchi katika mazingira mazuri, huku wananchi wanaoshiriki machafuko hayo wakikabiliwa na madhara makubwa ikiwemo kupoteza maisha, mali, uharibifu wa makazi yao nk Sambamba na hilo ametoa wito kwa Waandishi wa Habari kuendelea kutoa elimu kwa umma kuhusu athari za maandamano yasiyo ya amani na vurugu, akisisitiza kuwa matukio kama hayo yanaweza kuathiri maendeleo na rasilimali za Taifa Kwa upande wake, Mtendaji Mkuu wa African Spear Head Media David Hundeyin amesema kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni moja ya nchi muhimu kiuchumi barani Afrika kutokana na nafasi yake ya kimkakati, hususani kupitia Bandari ya Dar es Salaam inayotumiwa na mataifa mbalimbali katika shughuli za biashara na uchumi Ameongeza kuwa wananchi wanapaswa kulinda amani na rasilimali za nchi yao, kwani machafuko yanaweza kusababisha mdororo mkubwa wa uchumi na kuathiri maendeleo ya Taifa ...“Vurugu na mauaji yaliyotokea Oktoba 29.2025 (Siku ya Uchaguzi Mkuu) yalikuwa na athari kubwa kwa jamii, hata hivyo bado kuna baadhi ya watu wanaoendelea kutumia mitandao ya kijamii kuhamasisha vurugu, wananchi wanapaswa kuwa makini na watu wa aina hiyo kwa kuwa hawana nia njema kwa Taifa lao" -Hundeyin.

ROYAL TELEVISION PLUS

49,422 Aufrufe • vor 17 Tagen

dangerous woman in 4K
0:47

Sensitive content

dangerous woman in 4K

sonia ꕤ

1,141,215 Aufrufe • vor 14 Tagen