Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

📍 Kingosela, Ruvuma 🗓️ 20.09.2024

14,608 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Nangali Jr.
Nangali Jr.1 год назад

Ili kununua mbolea ya ruzuku inakulazimu uuze mahindi gunis Mbili, kilimo cha Mahindi kina Gharama kubwa sana afu soko lake lipo Chini. Nimeoata hasara sana mwakahu..🥲. Angalau kg 1 ingekuwa 1000.

Фото профиля kyamby Madebe
kyamby Madebe1 год назад

Ujinga ujinga tu hv wewe unawafundisha wakulima kuuza mazao yao 63 yrs walikuwa wanamuuzia nani Kamalizane na Mpina kwanza

Фото профиля Mtanzania aswa🇹🇿
Mtanzania aswa🇹🇿1 год назад

Mh pita kigonsera secondary school, utembelee shamba lao la mahindi wanafanya vizur sana na linaendeshwa na wanafunzi wenyewe

Фото профиля Hussein M Bashe
Hussein M Bashe1 год назад

Asante sana nitajitahidi

Фото профиля dirty11
dirty111 год назад

Mmefungua mipaka ila mmeweka utitiri wa ushuru na vikwazo vingi wanunuzi wa nje wameshindwa kununua mazao nchini huoni bado wakulima watazidi kua maskini?

Фото профиля Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿1 год назад

Walanguzi wamewaumiza wakulima wetu kwa miaka Mingi. Tuendelee kuwasaidia wakulima wetu “wadogo” kupitia sera na mikakati sahihi.👍

Фото профиля FIRST BORN WA KINYATURU
FIRST BORN WA KINYATURU1 год назад

Sema mwanangu bashe unapenda kuminya mdomo kama mimi yaan😂😂🙌

Фото профиля Unlimited Mind
Unlimited Mind1 год назад

Hivi kwa nini mnawapangia wakulima cha kufanya baada ya mavuno?

Фото профиля HAM
HAM1 год назад

Kigonsera Mbinga, Ruvuma 👊 Shuleni tulikua tunalima si mchezo🙌

Фото профиля Babaa 3G
Babaa 3G1 год назад

Duhh tunayo ndani yanatudodea tuu kupeleka huko kumejaa ukiritimba Wacha tuteseke

Похожие видео