Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
📍 Kingosela, Ruvuma 🗓️ 20.09.2024
14,608 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

Ili kununua mbolea ya ruzuku inakulazimu uuze mahindi gunis Mbili, kilimo cha Mahindi kina Gharama kubwa sana afu soko lake lipo Chini. Nimeoata hasara sana mwakahu..🥲. Angalau kg 1 ingekuwa 1000.

Ujinga ujinga tu hv wewe unawafundisha wakulima kuuza mazao yao 63 yrs walikuwa wanamuuzia nani Kamalizane na Mpina kwanza

Mh pita kigonsera secondary school, utembelee shamba lao la mahindi wanafanya vizur sana na linaendeshwa na wanafunzi wenyewe

Asante sana nitajitahidi

Mmefungua mipaka ila mmeweka utitiri wa ushuru na vikwazo vingi wanunuzi wa nje wameshindwa kununua mazao nchini huoni bado wakulima watazidi kua maskini?

Walanguzi wamewaumiza wakulima wetu kwa miaka Mingi. Tuendelee kuwasaidia wakulima wetu “wadogo” kupitia sera na mikakati sahihi.👍

Sema mwanangu bashe unapenda kuminya mdomo kama mimi yaan😂😂🙌

Hivi kwa nini mnawapangia wakulima cha kufanya baada ya mavuno?

Kigonsera Mbinga, Ruvuma 👊 Shuleni tulikua tunalima si mchezo🙌

Duhh tunayo ndani yanatudodea tuu kupeleka huko kumejaa ukiritimba Wacha tuteseke

