Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

📍 Kingosela, Ruvuma 🗓️ 20.09.2024

14,608 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

Nangali Jr.'s profile picture
Nangali Jr.1 year ago

Ili kununua mbolea ya ruzuku inakulazimu uuze mahindi gunis Mbili, kilimo cha Mahindi kina Gharama kubwa sana afu soko lake lipo Chini. Nimeoata hasara sana mwakahu..🥲. Angalau kg 1 ingekuwa 1000.

kyamby Madebe's profile picture
kyamby Madebe1 year ago

Ujinga ujinga tu hv wewe unawafundisha wakulima kuuza mazao yao 63 yrs walikuwa wanamuuzia nani Kamalizane na Mpina kwanza

Mtanzania aswa🇹🇿's profile picture
Mtanzania aswa🇹🇿1 year ago

Mh pita kigonsera secondary school, utembelee shamba lao la mahindi wanafanya vizur sana na linaendeshwa na wanafunzi wenyewe

Hussein M Bashe's profile picture
Hussein M Bashe1 year ago

Asante sana nitajitahidi

dirty11's profile picture
dirty111 year ago

Mmefungua mipaka ila mmeweka utitiri wa ushuru na vikwazo vingi wanunuzi wa nje wameshindwa kununua mazao nchini huoni bado wakulima watazidi kua maskini?

Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿's profile picture
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿1 year ago

Walanguzi wamewaumiza wakulima wetu kwa miaka Mingi. Tuendelee kuwasaidia wakulima wetu “wadogo” kupitia sera na mikakati sahihi.👍

FIRST BORN WA KINYATURU's profile picture
FIRST BORN WA KINYATURU1 year ago

Sema mwanangu bashe unapenda kuminya mdomo kama mimi yaan😂😂🙌

Unlimited Mind's profile picture
Unlimited Mind1 year ago

Hivi kwa nini mnawapangia wakulima cha kufanya baada ya mavuno?

HAM's profile picture
HAM1 year ago

Kigonsera Mbinga, Ruvuma 👊 Shuleni tulikua tunalima si mchezo🙌

Babaa 3G's profile picture
Babaa 3G1 year ago

Duhh tunayo ndani yanatudodea tuu kupeleka huko kumejaa ukiritimba Wacha tuteseke

Related Videos