Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

✍️ Kipengele ni KANUNI

101,536 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

12 Yorum

KILWA BOY profil fotoğrafı
KILWA BOY1 yıl önce

Azam alwalijua ili yanga wachawi 😂😂😂

Bracusz👣Cadabra 🇹🇿 profil fotoğrafı
Bracusz👣Cadabra 🇹🇿1 yıl önce

😃

Solar Heavy profil fotoğrafı
Solar Heavy1 yıl önce

We're Flying out now

Gus profil fotoğrafı
Gus1 yıl önce

@mchele_alpha Kwa kweli hili tangazo like vyema Kwa Kila upande.. nikama kipindi Antonio* Nugazi akitangaza tangazo la Simba ilikuwa unyama sana.

Bracusz👣Cadabra 🇹🇿 profil fotoğrafı
Bracusz👣Cadabra 🇹🇿1 yıl önce

@mchele_alpha Kabisa

Jefe.. ♐️ profil fotoğrafı
Jefe.. ♐️1 yıl önce

Hawa watu ni kama hii kitu walipanga wote ukute mashabiki tunachezewa tu hapaa....

FikraYenyeNuru profil fotoğrafı
FikraYenyeNuru1 yıl önce

Kipengele kwenye hizi timu mbili ni swala la kudumu

etropia icarly profil fotoğrafı
etropia icarly1 yıl önce

Hiz Tim apana😀😀

Bracusz👣Cadabra 🇹🇿 profil fotoğrafı
Bracusz👣Cadabra 🇹🇿1 yıl önce

😂😂 JAYANTI

PAKASHUME profil fotoğrafı
PAKASHUME1 yıl önce

Wazee wa conspiracy theory

Kichaa bwax profil fotoğrafı
Kichaa bwax1 yıl önce

Nilichogundua n ss mashabiki tulio wengi wa yanga wavivu Wa kusoma na wabovu Wa fikra✍

Bracusz👣Cadabra 🇹🇿 profil fotoğrafı
Bracusz👣Cadabra 🇹🇿1 yıl önce

Hapana ila mapenzi yamepitiliza

Benzer Videolar

VIDEO: Chama cha ACT Wazalendo kimeibua mjadala mzito kuhusu uhalali wa baadhi ya vipengele katika Kanuni za Maadili ya Uchaguzi, kikitaka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kutoa ufafanuzi wa kina kuhusu kifungu kinachosema kuwa chama kitakachoshindwa kusaini kanuni hizo kitakosa sifa ya kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba Mwaka huu. Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu, akizungumza katika hafla ya utiaji sahihi wa kanuni hizo iliyofanyika leo Aprili 12, 2025 jijini Dodoma mbele ya viongozi wa Tume, Serikali na wadau mbalimbali, amesema kuwa kipengele hicho kinahitaji tafsiri ya kikatiba, kwani haki ya kushiriki uchaguzi ni haki ya msingi kwa chama chenye usajili wa kudumu. "Kwa maoni ya ACT Wazalendo, tunaona kwamba haki ya kushiriki uchaguzi ni haki ya kikatiba. Kwa hiyo, haitoshi kusema kama chama hakijasaini basi kinapoteza haki hiyo. Tunataka Tume itoe ufafanuzi wa kina," amesema Ado. Mbali na suala hilo, ACT Wazalendo pia imeitaka Tume kuweka bayana haki za mawakala wa vyama katika vituo vya kupigia kura, hususan kuhusu utambulisho wao na upatikanaji wa nakala za matokeo. Hoja nyingine iliyotolewa ni wajibu wa vyombo vya ulinzi na usalama katika kuhakikisha uchaguzi unasimamiwa kwa haki, pamoja na kuzingatia maadili na weledi. Ado pia amependekeza marekebisho ya adhabu zinazoweza kutolewa na Kamati ya Maadili, hasa kusimamishwa kampeni, akisisitiza umuhimu wa kuwekwa kwa muda maalum wa adhabu ili kuepuka kunyimwa haki ya kampeni kwa muda usioeleweka. Baada ya hafla hiyo, Ado amezungumza na vyombo vya habari na kufichua kuwa chama chake kinafikiria kuchukua hatua za kisheria. “Tunaendelea kutafakari kwenda Mahakamani kudai haki dhidi ya kipengele kinachosema kuwa chama ambacho hakijasaini kanuni kinapoteza sifa ya kushiriki uchaguzi,” amesisitiza. Kwa upande wake, Mwenyekiti wa INEC, Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegele, amesema kuwa Tume itatoa ufafanuzi wa maandishi kuhusu maeneo yenye utata, na kuongeza kuwa chama chochote ambacho hakijaridhika kina haki ya kuwasilisha suala hilo Mahakamani.

Jambo TV

53,327 görüntüleme • 1 yıl önce