Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Kiwanda cha Korosho Kwale

133,425 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

upcoming_niccur💯's profile picture
upcoming_niccur💯1 year ago

Is like that coastal province has many projects that has fallen down

PMK's profile picture
PMK1 year ago

Oh! Uhuru was better...crap! We are a joke as a country!! poverty is well planned seeing this. Those people in coast deserve all that! Wacha kura zao ziwasaidie sasa. 2027 we vote vibaya tena!!!

Goal Joseph's profile picture
Goal Joseph1 year ago

Will you join the truth tellers in the fight for freedom and accountability, or will you cower in fear and submit to the demands of the Government? The choice is yours. But whatever you do, do not underestimate the consequences of your choices. Thanks @MoraraKebasoSnr good job!

Daniel Musembi's profile picture
Daniel Musembi1 year ago

Politicians use these stalled projects to steal public funds, every time you hear a budget has been set to revive it, just to end being looted

Maxi 🧢 CLONE's profile picture
Maxi 🧢 CLONE1 year ago

Nmekua hii mtaa nashangaa kwani Huyo Mpig anadhani tuko 2021 ama?? New fence lakini tarehe n yaliyopita #ZAAR

Patti's profile picture
Patti1 year ago

Inject 💉 inject mercilessly

Yusuf Ramadhan's profile picture
Yusuf Ramadhan1 year ago

I've just 1923hrs seen your vehicle in Diani bro....I swear you overworking ....people don't appreciate you enough ..I wish they'd see your sacrifices to stay away from your family for our sake they won't be slandering you the way they doing rn...God bless you Morara

GENZ GOLIATH's profile picture
GENZ GOLIATH1 year ago

This is impunity and pure corruption

Liston.Hc's profile picture
Liston.Hc1 year ago

Ukimaliza enda kilifi county,enda paka kaloleni,shika Barbara ya kwenda kilifi town,branch hapo chanagande,enda na hio rough road paka karibu tsanzuni Kuna hospital hapo haijamilzwa 10 yrs now ata yaanguka

Kipngeno🇰🇪's profile picture
Kipngeno🇰🇪1 year ago

Coast nayo Kila kitu ni wizi tu ..they a slow in everything

Related Videos

VIDEO: Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye Nape Moses Nnauye , ameweka wazi msimamo wake kuhusu hoja zinazoibuliwa na baadhi ya wanasiasa wa upinzani kuhusu unyonyaji katika mfumo wa stakabadhi ghalani kwenye zao la korosho, akisema wengi wao walikosa ujasiri wa kuwatetea wakulima wakati suala hilo lilipokuwa likipigiwa kelele bungeni mwaka 2018. Akizungumza mbele ya wakazi wa Kilwa mkoani Lindi siku ya Alhamisi, katika mkutano wa hadhara uliofanyika wakati wa ziara ya Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Chama Cha Mapinduzi , CPA Amos Makalla, Nape amesema ni unafiki kwa baadhi ya wanasiasa wa upinzani kujifanya kuwa na uchungu na zao la korosho wakati historia inaonesha walikaa kimya wakati wakulima walihitaji sauti yao. Akimtaja aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya CHADEMA Chama cha Demokrasia na Maendeleo , Godbless Lema Godbless E.J. Lema , Nape alisema licha ya kuwa na fursa ya kuwatetea wakulima wa korosho wakati wa mjadala mzito bungeni, alichagua kunyamaza. “Tulikuwa tunapigana kwa ajili ya wakulima wa korosho, tukasimama kuwatetea, lakini hawa walikaa kimya. Leo wanajifanya wana uchungu, ni wanafiki,” amesema Nape. Katika kueleza mchango wa serikali ya sasa, Nape amesema hakuna Rais aliyewahi kusimama na mkulima wa korosho kama Rais Samia Suluhu Hassan. “Wanakulwa, wanakusini, wakulima wa korosho, nataka niseme hivi, katika historia ya zao la korosho, hakuna Rais aliyesimama na mkulima kama Mama Samia. Hayupo!” amesisitiza.

Jambo TV

40,689 views • 1 year ago