正在加载视频...

视频加载失败

Kiwanda cha Korosho Kwale

133,427 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)

10 条评论

upcoming_niccur💯 的头像
upcoming_niccur💯1 年前

Is like that coastal province has many projects that has fallen down

PMK 的头像
PMK1 年前

Oh! Uhuru was better...crap! We are a joke as a country!! poverty is well planned seeing this. Those people in coast deserve all that! Wacha kura zao ziwasaidie sasa. 2027 we vote vibaya tena!!!

Goal Joseph 的头像
Goal Joseph1 年前

Will you join the truth tellers in the fight for freedom and accountability, or will you cower in fear and submit to the demands of the Government? The choice is yours. But whatever you do, do not underestimate the consequences of your choices. Thanks @MoraraKebasoSnr good job!

Daniel Musembi 的头像
Daniel Musembi1 年前

Politicians use these stalled projects to steal public funds, every time you hear a budget has been set to revive it, just to end being looted

Maxi 🧢 CLONE 的头像
Maxi 🧢 CLONE1 年前

Nmekua hii mtaa nashangaa kwani Huyo Mpig anadhani tuko 2021 ama?? New fence lakini tarehe n yaliyopita #ZAAR

Patti 的头像
Patti1 年前

Inject 💉 inject mercilessly

Yusuf Ramadhan 的头像
Yusuf Ramadhan1 年前

I've just 1923hrs seen your vehicle in Diani bro....I swear you overworking ....people don't appreciate you enough ..I wish they'd see your sacrifices to stay away from your family for our sake they won't be slandering you the way they doing rn...God bless you Morara

GENZ GOLIATH 的头像
GENZ GOLIATH1 年前

This is impunity and pure corruption

Liston.Hc 的头像
Liston.Hc1 年前

Ukimaliza enda kilifi county,enda paka kaloleni,shika Barbara ya kwenda kilifi town,branch hapo chanagande,enda na hio rough road paka karibu tsanzuni Kuna hospital hapo haijamilzwa 10 yrs now ata yaanguka

Kipngeno🇰🇪 的头像
Kipngeno🇰🇪1 年前

Coast nayo Kila kitu ni wizi tu ..they a slow in everything

相关视频

VIDEO: Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye Nape Moses Nnauye , ameweka wazi msimamo wake kuhusu hoja zinazoibuliwa na baadhi ya wanasiasa wa upinzani kuhusu unyonyaji katika mfumo wa stakabadhi ghalani kwenye zao la korosho, akisema wengi wao walikosa ujasiri wa kuwatetea wakulima wakati suala hilo lilipokuwa likipigiwa kelele bungeni mwaka 2018. Akizungumza mbele ya wakazi wa Kilwa mkoani Lindi siku ya Alhamisi, katika mkutano wa hadhara uliofanyika wakati wa ziara ya Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Chama Cha Mapinduzi , CPA Amos Makalla, Nape amesema ni unafiki kwa baadhi ya wanasiasa wa upinzani kujifanya kuwa na uchungu na zao la korosho wakati historia inaonesha walikaa kimya wakati wakulima walihitaji sauti yao. Akimtaja aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya CHADEMA Chama cha Demokrasia na Maendeleo , Godbless Lema Godbless E.J. Lema , Nape alisema licha ya kuwa na fursa ya kuwatetea wakulima wa korosho wakati wa mjadala mzito bungeni, alichagua kunyamaza. “Tulikuwa tunapigana kwa ajili ya wakulima wa korosho, tukasimama kuwatetea, lakini hawa walikaa kimya. Leo wanajifanya wana uchungu, ni wanafiki,” amesema Nape. Katika kueleza mchango wa serikali ya sasa, Nape amesema hakuna Rais aliyewahi kusimama na mkulima wa korosho kama Rais Samia Suluhu Hassan. “Wanakulwa, wanakusini, wakulima wa korosho, nataka niseme hivi, katika historia ya zao la korosho, hakuna Rais aliyesimama na mkulima kama Mama Samia. Hayupo!” amesisitiza.

Jambo TV

40,689 次观看 • 1 年前