Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Kosa la huyu mama ni nini?

78,457 views • 2 years ago •via X (Twitter)

10 Comments

Sia Da Vinci💎's profile picture
Sia Da Vinci💎2 years ago

Mfanyabiashara kama huyo anatakiwa awe na mwanasheria. Yani yeye alitakiwa awaambie sijibu lolote mpaka mwanasheria wangu afike

Emmanuel Mwita's profile picture
Emmanuel Mwita2 years ago

Kwanini wanamlazimisha auze sukari yake jameni 😂😂😂😂

M A G I R I's profile picture
M A G I R I2 years ago

Ndio tabia ya rafiki zako mapolisi wakishirikiana na makada.

Awesu Ally (Mkubwa)'s profile picture
Awesu Ally (Mkubwa)2 years ago

Sasa serikali si walete yao wauze bei watakayo!

Zature's profile picture
Zature2 years ago

Price gauging ni makosa, Price gauging is the practice of increasing the prices of goods, services, or commodities to a level much higher than is considered reasonable or fair, usually in times of natural disaster or other crisis.

Davidin Pulan Eliwangu's profile picture
Davidin Pulan Eliwangu2 years ago

Hata kama ana michezo ya ulanguzi ila wakubali tu kuwa leo wamemkosa kwenye mtego wao butu hapa wanalazimishia kosa.

Raphael Mheta's profile picture
Raphael Mheta2 years ago

Wanamuonea tu huyu mama ana kosa gani sasa... Hii nchi 🚮🚮🚮🚮🚮🚮

Mbuzi's profile picture
Mbuzi2 years ago

Wasipofanya hivi mtajuaje sirikali ipo kazini!? Hapa mama anadondoshewa jumba bovu kuficha uzembe wa watu wachache sirikalini.... #KichwaChaMwendaWazimu

Hancy Machemba's profile picture
Hancy Machemba2 years ago

Kaka unajuwa sisi wafanyabiashara ndiyo huwa tunacheza na bei,bidhaa ipo lkn tunacheza na supply ili demand iwe kubwa na kupiga hela. Ktk uhaba wa sukari na viwanda vinahaha unadhani kweli wateja hawajaenda kwake kutafuta sukari? Polisi sio wajinga wanajua nn wanafanya

Aloyce Jackson's profile picture
Aloyce Jackson2 years ago

sa ununue jumla bei juu af uuze bei elekezi ni ujinga sana....

Related Videos