Loading video...
Video Failed to Load
Kosa la huyu mama ni nini?
78,457 views • 2 years ago •via X (Twitter)
10 Comments

Mfanyabiashara kama huyo anatakiwa awe na mwanasheria. Yani yeye alitakiwa awaambie sijibu lolote mpaka mwanasheria wangu afike

Kwanini wanamlazimisha auze sukari yake jameni 😂😂😂😂

Ndio tabia ya rafiki zako mapolisi wakishirikiana na makada.

Sasa serikali si walete yao wauze bei watakayo!

Price gauging ni makosa, Price gauging is the practice of increasing the prices of goods, services, or commodities to a level much higher than is considered reasonable or fair, usually in times of natural disaster or other crisis.

Hata kama ana michezo ya ulanguzi ila wakubali tu kuwa leo wamemkosa kwenye mtego wao butu hapa wanalazimishia kosa.

Wanamuonea tu huyu mama ana kosa gani sasa... Hii nchi 🚮🚮🚮🚮🚮🚮

Wasipofanya hivi mtajuaje sirikali ipo kazini!? Hapa mama anadondoshewa jumba bovu kuficha uzembe wa watu wachache sirikalini.... #KichwaChaMwendaWazimu

Kaka unajuwa sisi wafanyabiashara ndiyo huwa tunacheza na bei,bidhaa ipo lkn tunacheza na supply ili demand iwe kubwa na kupiga hela. Ktk uhaba wa sukari na viwanda vinahaha unadhani kweli wateja hawajaenda kwake kutafuta sukari? Polisi sio wajinga wanajua nn wanafanya

sa ununue jumla bei juu af uuze bei elekezi ni ujinga sana....

