Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Kumbe Duuh. 😳😳
11 Yorum

Ukiwa hujakutana na hiz mbanga utaona jamaa kama hataki kubeba jukum lake au kapanic ila usiombe yakukute unaweza zima sim kwaajil ya karaha na ukipigiwa sim kama mgonjwa mtoto toa pesa alafu kesho/jion nenda kimya kimya utakuta mtoto wak yupo Busy anacheza mtalaka kaenda club 🙉

perfect beach vibes

Ukweli upo. Sio rahisi kumsikia single mother akisema et baba wa mtoto huwaga anahudumia mwanae badala yake utasiki "Nipo napambana kumtunza mwanangu"

Kwannii mama samia asimteue huyu sasa akawa waziri jinsia na watoto maaan hiii nondooo kali

Huyu ndio Mwanaume. Mwanamke anatumia mtoto kama njia ya kutatua shida zake, pamoja na kumkomoa Mzazi mwenzake, hapaswi kuchekewa.

Masuala ya ww ni mkeo watoto yanawahusu nn,maneno mengi hakuna cha msingi anachoongea,km kweli anania na hao watoto angefanya km sugu waende mahakamani apewe watoto awalee mwenyew huyu ni mbabaishaji mwanaume mwenye nia ya kupambania watoto wake huwezi kumkuta anatafuta excuse.

Apewe uwenyekiti wa wanaume

Kwenye kikao akija apewe seat ya mbele kabisa

Huu ndio ukweli

Yote ni kweli ila ni mtoto wako unamuadhibu hapo Tafuta namna

Yupo sawa kabisa wanawake wanatumia watoto kama njia ya kujipatia kipato anaweza kusema mtoto anaumwa unatuma pesa ya matibabu na anakupangia kabisa tuma 50k Sasa ulipiga hesabu siyo mbaya unatuma ukienda kimya kimya bila taarifa unakuta dogo mzima kabisa ila mama yupo bar 🍻🚮
Benzer Videolar
Sensitive content
लड़कियां भी बहुत सोचती हैं सेक्स के बारे में 😳😳😳😳😳😳😳
HasnaZarooriHai🇮🇳
132,860 görüntüleme • 10 ay önce
