Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Kumbe Duuh. 😳😳

88,390 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

Tamim Kifungu's profile picture
Tamim Kifungu1 year ago

Ukiwa hujakutana na hiz mbanga utaona jamaa kama hataki kubeba jukum lake au kapanic ila usiombe yakukute unaweza zima sim kwaajil ya karaha na ukipigiwa sim kama mgonjwa mtoto toa pesa alafu kesho/jion nenda kimya kimya utakuta mtoto wak yupo Busy anacheza mtalaka kaenda club 🙉

Solar Heavy's profile picture
Solar Heavy1 year ago

perfect beach vibes

Wiston Kapilipili 🇹🇿's profile picture
Wiston Kapilipili 🇹🇿1 year ago

Ukweli upo. Sio rahisi kumsikia single mother akisema et baba wa mtoto huwaga anahudumia mwanae badala yake utasiki "Nipo napambana kumtunza mwanangu"

Abdallah Mkindi's profile picture
Abdallah Mkindi1 year ago

Kwannii mama samia asimteue huyu sasa akawa waziri jinsia na watoto maaan hiii nondooo kali

Adv Jackob Mwasiposya's profile picture
Adv Jackob Mwasiposya1 year ago

Huyu ndio Mwanaume. Mwanamke anatumia mtoto kama njia ya kutatua shida zake, pamoja na kumkomoa Mzazi mwenzake, hapaswi kuchekewa.

___Kai✨️'s profile picture
___Kai✨️1 year ago

Masuala ya ww ni mkeo watoto yanawahusu nn,maneno mengi hakuna cha msingi anachoongea,km kweli anania na hao watoto angefanya km sugu waende mahakamani apewe watoto awalee mwenyew huyu ni mbabaishaji mwanaume mwenye nia ya kupambania watoto wake huwezi kumkuta anatafuta excuse.

Goat's profile picture
Goat1 year ago

Apewe uwenyekiti wa wanaume

Mweusi's profile picture
Mweusi1 year ago

Kwenye kikao akija apewe seat ya mbele kabisa

Gerald's profile picture
Gerald1 year ago

Huu ndio ukweli

𝙓𝙨's profile picture
𝙓𝙨1 year ago

Yote ni kweli ila ni mtoto wako unamuadhibu hapo Tafuta namna

suriama's profile picture
suriama1 year ago

Yupo sawa kabisa wanawake wanatumia watoto kama njia ya kujipatia kipato anaweza kusema mtoto anaumwa unatuma pesa ya matibabu na anakupangia kabisa tuma 50k Sasa ulipiga hesabu siyo mbaya unatuma ukienda kimya kimya bila taarifa unakuta dogo mzima kabisa ila mama yupo bar 🍻🚮

Related Videos