正在加载视频...

视频加载失败

Kumbe Duuh. 😳😳

88,390 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)

11 条评论

Tamim Kifungu 的头像
Tamim Kifungu1 年前

Ukiwa hujakutana na hiz mbanga utaona jamaa kama hataki kubeba jukum lake au kapanic ila usiombe yakukute unaweza zima sim kwaajil ya karaha na ukipigiwa sim kama mgonjwa mtoto toa pesa alafu kesho/jion nenda kimya kimya utakuta mtoto wak yupo Busy anacheza mtalaka kaenda club 🙉

Solar Heavy 的头像
Solar Heavy1 年前

perfect beach vibes

Wiston Kapilipili 🇹🇿 的头像
Wiston Kapilipili 🇹🇿1 年前

Ukweli upo. Sio rahisi kumsikia single mother akisema et baba wa mtoto huwaga anahudumia mwanae badala yake utasiki "Nipo napambana kumtunza mwanangu"

Abdallah Mkindi 的头像
Abdallah Mkindi1 年前

Kwannii mama samia asimteue huyu sasa akawa waziri jinsia na watoto maaan hiii nondooo kali

Adv Jackob Mwasiposya 的头像
Adv Jackob Mwasiposya1 年前

Huyu ndio Mwanaume. Mwanamke anatumia mtoto kama njia ya kutatua shida zake, pamoja na kumkomoa Mzazi mwenzake, hapaswi kuchekewa.

___Kai✨️ 的头像
___Kai✨️1 年前

Masuala ya ww ni mkeo watoto yanawahusu nn,maneno mengi hakuna cha msingi anachoongea,km kweli anania na hao watoto angefanya km sugu waende mahakamani apewe watoto awalee mwenyew huyu ni mbabaishaji mwanaume mwenye nia ya kupambania watoto wake huwezi kumkuta anatafuta excuse.

Goat 的头像
Goat1 年前

Apewe uwenyekiti wa wanaume

Mweusi 的头像
Mweusi1 年前

Kwenye kikao akija apewe seat ya mbele kabisa

Gerald 的头像
Gerald1 年前

Huu ndio ukweli

𝙓𝙨 的头像
𝙓𝙨1 年前

Yote ni kweli ila ni mtoto wako unamuadhibu hapo Tafuta namna

suriama 的头像
suriama1 年前

Yupo sawa kabisa wanawake wanatumia watoto kama njia ya kujipatia kipato anaweza kusema mtoto anaumwa unatuma pesa ya matibabu na anakupangia kabisa tuma 50k Sasa ulipiga hesabu siyo mbaya unatuma ukienda kimya kimya bila taarifa unakuta dogo mzima kabisa ila mama yupo bar 🍻🚮

相关视频