Loading video...
Video Failed to Load
Kumbe ipo hivi aiseeeeh.
54,291 views โข 1 year ago โขvia X (Twitter)
11 Comments

Binafsi naamini kwamba kama umemsaidia mtu kufika sehemu fulani basi yeye ndiye anatakiwa aseme kwamba fulani na fulani walinishika mkono. Lakini wewe tena uliyesaidia ndiye unakuja mbele ya media na kuanza kumsemea mtu sidhani kama imekaa poa ni kama unatafuta huruma hivi.

perfect beach vibes

Mimi pia nakubali kwamba katika safari ya Mondi Bob kausika pakubwa mno, mpaka jina la Wasafi lilianzia kwa Bob.

Nakubali wasanii wasio kuwa na unafiki kwenye mafanikio ya wenzao big up Bob โโโ

Mafanikio ya diamond yana watesa wasanii wengi sana

Bob Ana Mchango Mkubwa Sana Sana Kufika Alipo Mond Ila Huyu Huyu Aliapa Baada Ya Mond Kutoka Sharobaro Records Lazima Apotee Coz Yeye Ndio Anamjulia

Unyama tu, 10M kwa 2011 ni kunwa mno

Nan alibeba hio mimba ya mond?

Ndio umejua leo brother?

Nani alkuwa baba nani alkuwa mama sasa na nani aliingia leba?๐

Sema huyu demu apa pembeni ๐ ๐ ๐
