Loading video...
Video Failed to Load
kumbe kuna kitu hatukijui ๐ฅน๐ฅน
101,663 views โข 1 year ago โขvia X (Twitter)
10 Comments

Propaganda nyingine ni za kipumbavu. Kama watekaji wapo ndani ya CHADEMA mnataka kusema wana nguvu kushinda vyombo vya dola kiasi cha kutotambulika na kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria? By the way, hii kauli Slaa aliizungumza lini? By then, Uhusiano wake na CHADEMA ulikuwaje?

Anatakiwa kuhojiwa

Sawa watekaji ndio hawa chadema navyojua hii ni doa kwa serikali kwahiyo serikali imeshindwa kuwadhibiti hawa wauni wa chadema?

Hii ndio hoja ya msingi

Suala la Kutekwa watu binafsi nalitazama kwa Mapana sana toka Kipindi cha Hayati Dr Jpm siyo Suala la kwenda Kishabiki na Mihemko au kunyoshea Kidole Serikali @SuluhuSamia na Police @tanpol .Hapa Tunatakiwa Kutazama kwa mapana sana kuna Wakati nasema Hata wabaya au maadui au Rafiki wachukiao nao wanacheza Biti ya Upepo huu ,Vyama vya siasa , Vikundi ,Mtu (Watu) uliyemdhurumu(Uliowadhurumu) au kumuumiza (kuwaumiza), Tamaa za Mali (Vitu) /Madaraka,Hofu ya Madaraka ,Siasa, Ugomvi,Uzinzi na Uasherati ,Chuki za Vyama vya Sia ,Chukui ,Wivu mbaya na ukiambatana na Ubinafsi na Roho mbaya,Migogoro n.k .Jeshi la Police na vyombo vya Ulinzi na Usalama vyetu tunaviomba Viongoze Modern most technologoa wepons na Ueledi .Tanzania Iendelee kuwa sehemu salama na Kisiwa cha Amani ns Utulivu.

@SuluhuSamia @tanpol Exactly ukilitazama hili swala kwenye angle moja tunaweza miss some details

Mbona hili amliongelei!!

Umefatilia tweets zangu?

Issue ni kwamba baada ya kupokea taarifa hizo je Dr. Slaa alienda kutoa taarifa police juu ya tukio hilo baada ya mhusika kusema mbele yake kuwa yeye ndio alihusika? Je watu wa nje wenye nia mbaya wakitaka kufanya uovu ndani ya chama kwa kutumia watu ndani ya chama haiwezekani?

Hii case ilipaswa kuchunguzwa Kwa kina
