ๆญฃๅœจๅŠ ่ฝฝ่ง†้ข‘...

่ง†้ข‘ๅŠ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ

101,663 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 1 ๅนดๅ‰ โ€ขvia X (Twitter)

10 ๆก่ฏ„่ฎบ

Thompson Jr. ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ็š„ๅคดๅƒ
Thompson Jr. ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ1 ๅนดๅ‰

Propaganda nyingine ni za kipumbavu. Kama watekaji wapo ndani ya CHADEMA mnataka kusema wana nguvu kushinda vyombo vya dola kiasi cha kutotambulika na kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria? By the way, hii kauli Slaa aliizungumza lini? By then, Uhusiano wake na CHADEMA ulikuwaje?

๐‹๐š๐›๐ž๐ฅ๐ฅ๐š ๐Œ๐š๐Ÿ๐ข๐š ็š„ๅคดๅƒ
๐‹๐š๐›๐ž๐ฅ๐ฅ๐š ๐Œ๐š๐Ÿ๐ข๐š1 ๅนดๅ‰

Anatakiwa kuhojiwa

Sameer 98 ็š„ๅคดๅƒ
Sameer 981 ๅนดๅ‰

Sawa watekaji ndio hawa chadema navyojua hii ni doa kwa serikali kwahiyo serikali imeshindwa kuwadhibiti hawa wauni wa chadema?

๐‹๐š๐›๐ž๐ฅ๐ฅ๐š ๐Œ๐š๐Ÿ๐ข๐š ็š„ๅคดๅƒ
๐‹๐š๐›๐ž๐ฅ๐ฅ๐š ๐Œ๐š๐Ÿ๐ข๐š1 ๅนดๅ‰

Hii ndio hoja ya msingi

Gregory Charles Ndaki ็š„ๅคดๅƒ
Gregory Charles Ndaki1 ๅนดๅ‰

Suala la Kutekwa watu binafsi nalitazama kwa Mapana sana toka Kipindi cha Hayati Dr Jpm siyo Suala la kwenda Kishabiki na Mihemko au kunyoshea Kidole Serikali @SuluhuSamia na Police @tanpol .Hapa Tunatakiwa Kutazama kwa mapana sana kuna Wakati nasema Hata wabaya au maadui au Rafiki wachukiao nao wanacheza Biti ya Upepo huu ,Vyama vya siasa , Vikundi ,Mtu (Watu) uliyemdhurumu(Uliowadhurumu) au kumuumiza (kuwaumiza), Tamaa za Mali (Vitu) /Madaraka,Hofu ya Madaraka ,Siasa, Ugomvi,Uzinzi na Uasherati ,Chuki za Vyama vya Sia ,Chukui ,Wivu mbaya na ukiambatana na Ubinafsi na Roho mbaya,Migogoro n.k .Jeshi la Police na vyombo vya Ulinzi na Usalama vyetu tunaviomba Viongoze Modern most technologoa wepons na Ueledi .Tanzania Iendelee kuwa sehemu salama na Kisiwa cha Amani ns Utulivu.

๐‹๐š๐›๐ž๐ฅ๐ฅ๐š ๐Œ๐š๐Ÿ๐ข๐š ็š„ๅคดๅƒ
๐‹๐š๐›๐ž๐ฅ๐ฅ๐š ๐Œ๐š๐Ÿ๐ข๐š1 ๅนดๅ‰

@SuluhuSamia @tanpol Exactly ukilitazama hili swala kwenye angle moja tunaweza miss some details

RQ ็š„ๅคดๅƒ
RQ1 ๅนดๅ‰

Mbona hili amliongelei!!

๐‹๐š๐›๐ž๐ฅ๐ฅ๐š ๐Œ๐š๐Ÿ๐ข๐š ็š„ๅคดๅƒ
๐‹๐š๐›๐ž๐ฅ๐ฅ๐š ๐Œ๐š๐Ÿ๐ข๐š1 ๅนดๅ‰

Umefatilia tweets zangu?

Solomon Franco ็š„ๅคดๅƒ
Solomon Franco1 ๅนดๅ‰

Issue ni kwamba baada ya kupokea taarifa hizo je Dr. Slaa alienda kutoa taarifa police juu ya tukio hilo baada ya mhusika kusema mbele yake kuwa yeye ndio alihusika? Je watu wa nje wenye nia mbaya wakitaka kufanya uovu ndani ya chama kwa kutumia watu ndani ya chama haiwezekani?

๐‹๐š๐›๐ž๐ฅ๐ฅ๐š ๐Œ๐š๐Ÿ๐ข๐š ็š„ๅคดๅƒ
๐‹๐š๐›๐ž๐ฅ๐ฅ๐š ๐Œ๐š๐Ÿ๐ข๐š1 ๅนดๅ‰

Hii case ilipaswa kuchunguzwa Kwa kina

็›ธๅ…ณ่ง†้ข‘