Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Kumeanza kuchangamka sasa
64,379 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)
11 Yorum

Huyo hapo nimewasogezea

space meets sound

Huyu waende wakamchukue tu sio ishu ya kumtafutaaa

kwamba hawamfahamu atafutwe si mtu wao yule anaitwa Dr Edward Cosseny ,Na ameonekana mara ofisi za @ccm_tanzania akiwa Lumumba na baadhi ya prominent leaders kama Mhe Makonda....wanamtafuta vipi??Si wamkamate tuh

Ww Bashungwa bae nae ni kuma mwili mzima, “emana umbiligone”. Yani humjui kada mwanzako wa @ccm_tanzania Frey Edward Cosseny? Wakati mmnashinda nae lumumba hpo, ww nae ni hopeless mmoja mpuuzi kbs ww. Serekari hamko serious na hii kesi.

Ni bora ukakamatwa na kuwekwa ndani kwa kesi ya ujambazi kwamba ulikua unatafuta pesa kuliko kukamatwa kwa kuongea ujinga au kutukana watu bila faida Mdomo huponza kichwa

Kuna watu wanataka watukanwe ili wengine watafutiwe kesi

Hakuna jipya hapo ni usenge tu mara ngapi wanaongea hayo mzee Kibao mpk leo kimya

Hawa wanataka tuwatukane waendelee kututeka

Yaaani anayetafutwa kwani hawamjui?

Zuga! Jeshi la polisi ndio mhusika wa haya mambo ukishaona waziri kaongea tayari siasa
