ๆญฃๅœจๅŠ ่ฝฝ่ง†้ข‘...

่ง†้ข‘ๅŠ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ

Kumechangamka!! ๐Ÿ™Œ

69,400 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 1 ๅนดๅ‰ โ€ขvia X (Twitter)

11 ๆก่ฏ„่ฎบ

Usinune Basi ็š„ๅคดๅƒ
Usinune Basi1 ๅนดๅ‰

Ni kweli anachosema hakuna ndugu yangu aliyewahi kuuliwa na mmachame kwa kuwa wakishakutana na mademu wa kimachame wanachimba faster kabla mambo hayajawa mengi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

m.p magari ็š„ๅคดๅƒ
m.p magari1 ๅนดๅ‰

Narudia ni marufuku kuoa wamachame hatakama wewe mwanaume ni mmachame usijichanganye๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

mkunja ngumi ็š„ๅคดๅƒ
mkunja ngumi1 ๅนดๅ‰

Wachaga wenzao tu wanawaogopa ndo sisi wengine ๐Ÿ˜†

Solar Heavy ็š„ๅคดๅƒ
Solar Heavy1 ๅนดๅ‰

- All I Knew

William ็š„ๅคดๅƒ
William1 ๅนดๅ‰

Nilishawahi kuwa na dem mmachame nikama nipacha wa hyo dada anavyoongea hvo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚mda wote wapo kwa vita

#cardinal ๐Ÿ€ ็š„ๅคดๅƒ
#cardinal ๐Ÿ€1 ๅนดๅ‰

Kitaeleweka tu sa kam wanaua why waolewe๐Ÿ˜‚

zizu ็š„ๅคดๅƒ
zizu1 ๅนดๅ‰

Mamae ndivyo mlivyo

JD Andrew ็š„ๅคดๅƒ
JD Andrew1 ๅนดๅ‰

Wamachame ni wapalestina

David Blasius ็š„ๅคดๅƒ
David Blasius1 ๅนดๅ‰

Ngoja nijazie hapo huwa wanakaa kwenye mahusiano ama ndoa mungu akiwajalia mtotobwa kwanza akawa wa kiume huwa anajaribishwa viatu vya baba yake kuvaa vikimtosha tu hapo anahesabika huyu ataweza kusimamia mambo kuanzia hapo uhai wa baba unakuwa mashakani anauwawa kweli muache .

M7 ็š„ๅคดๅƒ
M71 ๅนดๅ‰

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚we mwenyew umekaa basi tuuu niishie hapa kwa leo

Chrispin Nshushi ็š„ๅคดๅƒ
Chrispin Nshushi1 ๅนดๅ‰

Ogopa Wamachame na Wamarangu.... ukiwaona Kimbiaa

็›ธๅ…ณ่ง†้ข‘