Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Kumekucha sasa🔥🔥🔥📍🇹🇿
339,076 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

Polisi skuizi bana ni kama jamiii does not give a damn about them, juzi nmepishana na polisi mmoja nikapita kando kabisa kama nmekutana na mtu mwenye ukoma,mwingine kaja kijiweni juzi wadau WOTE tukasepa tukamuacha peke ake🤣

Eti gusa hii uniform uone, Kwan ukishavaa uniform ndio ukipigwa ngumi haiingii? Vitu vingine tumieni akili maana li jamaa likivurugwa likaanza kukucharanga mapanga wataifunga lakin na ww inabaki alazwe pema peponi amina.

Kuna mtu anaenda kufutwa kazi sad mitando imekuja na kuondoka na kazi za watu. Inaonekana ni kawaida kwa mazingira yetu lakini ni picha mbaya kwa JWT ... ndo maana wanabaka kumbe

Eti kisa uniform yaaan mtu anakuua na hiyo uniform na kesi inaenda mahakamani anashinda au anahonga anaachiwa wakati wewe ushakufa

Tutafika tu mwenyezi ana yake ya kutufikisha huko tutakapo iko siku watateka mtoto,ndugu au jamaa wa mwenzao yani hawa watamalizana wenyewe kwa wenyewe, wala hatuko mbali sana watanyooshana wenyewe kwa wenyewe yani🤣🤣🤣

Safi sana...tumeanza pazuri mpk 2025...kila mtanzania atakuwa hayupo mnyonge

Kiualisia dogo kakosa adabu, tena mbele ya Bro wake mabaka, awajibishwe kwanza

Sasa Askari wa kike anaendaje kukamata Jinsia ya Me😂😂 anyway @john__himself Naona Naona 😂

Wakiwa wengi ndio wanakua na jeuri, hapo yupo pekee yake huyo mbweha hana jeuri....

Mwamba anatembelea upepo wa brother ake mabaka 💪✌️
Похожие видео
Hii sasa Ndo Noma🫡 Mpe neno Mkaguzi✍️ 🔥🔥🔥
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻♀️❣️
68,001 просмотров • 1 год назад

