Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

339,084 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

10 Yorum

jose junior profil fotoğrafı
jose junior1 yıl önce

Polisi skuizi bana ni kama jamiii does not give a damn about them, juzi nmepishana na polisi mmoja nikapita kando kabisa kama nmekutana na mtu mwenye ukoma,mwingine kaja kijiweni juzi wadau WOTE tukasepa tukamuacha peke ake🤣

ubuntu philosophy profil fotoğrafı
ubuntu philosophy1 yıl önce

Eti gusa hii uniform uone, Kwan ukishavaa uniform ndio ukipigwa ngumi haiingii? Vitu vingine tumieni akili maana li jamaa likivurugwa likaanza kukucharanga mapanga wataifunga lakin na ww inabaki alazwe pema peponi amina.

Wakana Wakilo profil fotoğrafı
Wakana Wakilo1 yıl önce

Kuna mtu anaenda kufutwa kazi sad mitando imekuja na kuondoka na kazi za watu. Inaonekana ni kawaida kwa mazingira yetu lakini ni picha mbaya kwa JWT ... ndo maana wanabaka kumbe

OMUSHAIJA ENTARE profil fotoğrafı
OMUSHAIJA ENTARE1 yıl önce

Eti kisa uniform yaaan mtu anakuua na hiyo uniform na kesi inaenda mahakamani anashinda au anahonga anaachiwa wakati wewe ushakufa

Nature/Wildlife/People. profil fotoğrafı
Nature/Wildlife/People.1 yıl önce

Tutafika tu mwenyezi ana yake ya kutufikisha huko tutakapo iko siku watateka mtoto,ndugu au jamaa wa mwenzao yani hawa watamalizana wenyewe kwa wenyewe, wala hatuko mbali sana watanyooshana wenyewe kwa wenyewe yani🤣🤣🤣

Tanganyika One 🇰🇪🇿🇦 profil fotoğrafı
Tanganyika One 🇰🇪🇿🇦1 yıl önce

Safi sana...tumeanza pazuri mpk 2025...kila mtanzania atakuwa hayupo mnyonge

AL HelmsMan profil fotoğrafı
AL HelmsMan1 yıl önce

Kiualisia dogo kakosa adabu, tena mbele ya Bro wake mabaka, awajibishwe kwanza

Mishy🇲🇫 profil fotoğrafı
Mishy🇲🇫1 yıl önce

Sasa Askari wa kike anaendaje kukamata Jinsia ya Me😂😂 anyway @john__himself Naona Naona 😂

nameless isle king profil fotoğrafı
nameless isle king1 yıl önce

Wakiwa wengi ndio wanakua na jeuri, hapo yupo pekee yake huyo mbweha hana jeuri....

Bonta Kiraka profil fotoğrafı
Bonta Kiraka1 yıl önce

Mwamba anatembelea upepo wa brother ake mabaka 💪✌️

Benzer Videolar