Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

188,793 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

Daktari Wa Manesi 💉💊's profile picture
Daktari Wa Manesi 💉💊1 year ago

Ubungo tuna siku ya pili hatuna maji kumbe kuna watu wanamwaga tu maji 😄

🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿's profile picture
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿1 year ago

Kumbe kuna watu huwa wanasoma Post zangu kimya kimya 😅😂😅🙌🏽🙌🏽🙌🏽

Tindo's profile picture
Tindo1 year ago

Jua bado kali sana mzee... Subiri kupoe kidgo

M A G I R I's profile picture
M A G I R I1 year ago

😀😀

MZUNGU PORI💪's profile picture
MZUNGU PORI💪1 year ago

Maji ya kawaida si yapogo bombani na ya mvua sasa haya yanakuwaje maji ya kawaida 🙌🙌🤣🤣

𝔇 𝔞 𝔳 𝔢 🇹🇿☆'s profile picture
𝔇 𝔞 𝔳 𝔢 🇹🇿☆1 year ago

Na ni salama kutumia kukata kiu.

Pierre Bemba's profile picture
Pierre Bemba1 year ago

Mzee hawa watu huwa unawapata wapi😂😂😂😂😂

M A G I R I's profile picture
M A G I R I1 year ago

Kula shule hiyo, mzee.

~Brown Bear~'s profile picture
~Brown Bear~1 year ago

Maji gani tena na mtaani hakuna maji

Baba Assad CAG🇹🇿's profile picture
Baba Assad CAG🇹🇿1 year ago

Kwamba hayo maji unaweza kunywa? Anyway mbona hajasema wale nini ili wapate maji mengi?

Related Videos