Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Kumwaga maji.

188,793 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Daktari Wa Manesi 💉💊
Daktari Wa Manesi 💉💊1 год назад

Ubungo tuna siku ya pili hatuna maji kumbe kuna watu wanamwaga tu maji 😄

Фото профиля 🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿1 год назад

Kumbe kuna watu huwa wanasoma Post zangu kimya kimya 😅😂😅🙌🏽🙌🏽🙌🏽

Фото профиля Tindo
Tindo1 год назад

Jua bado kali sana mzee... Subiri kupoe kidgo

Фото профиля M A G I R I
M A G I R I1 год назад

😀😀

Фото профиля MZUNGU PORI💪
MZUNGU PORI💪1 год назад

Maji ya kawaida si yapogo bombani na ya mvua sasa haya yanakuwaje maji ya kawaida 🙌🙌🤣🤣

Фото профиля 𝔇 𝔞 𝔳 𝔢 🇹🇿☆
𝔇 𝔞 𝔳 𝔢 🇹🇿☆1 год назад

Na ni salama kutumia kukata kiu.

Фото профиля Pierre Bemba
Pierre Bemba1 год назад

Mzee hawa watu huwa unawapata wapi😂😂😂😂😂

Фото профиля M A G I R I
M A G I R I1 год назад

Kula shule hiyo, mzee.

Фото профиля ~Brown Bear~
~Brown Bear~1 год назад

Maji gani tena na mtaani hakuna maji

Фото профиля Baba Assad CAG🇹🇿
Baba Assad CAG🇹🇿1 год назад

Kwamba hayo maji unaweza kunywa? Anyway mbona hajasema wale nini ili wapate maji mengi?

Похожие видео

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amemtaka Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (DAWASA), Kiunga Kingu, akae pembeni ya majukumu yake kwa muda, pia amemsimamisha kazi, Mkurugenzi wa Uzalishaji na Usambazaji Maji-DAWASA, Shaban Mkwanywe na kuanzia leo June 30,2024 ameiweka DAWASA chini ya uangalizi maalum wa Wizara ya Maji ili kuboresha utendaji wake kufuatia uzembe uliopelekea visima kukosa maji na kufanya Wakazi wa Dar es salaam kukosa maji. Aweso ametangaza uamuzi huo leo baada ya kufanya ziara ya kimkakati na ya kushtukiza katika Ofisi za DAWASA zilizopo Ubungo Dar es salaam ili kupata maelezo ya Watendaji ya sababu za Watu kukosa maji na baada ya kushindwa kuridhishwa na majibu aliamua kuzungukia matanki ya maji katika maeneo manne tofauti ikiwemo tanki la Ardhi UDSM na Kibamba huku akituma Timu nyingine kwenda kukagua matanki ya Kigamboni ambapo imebainika matanki kadhaa hayana maji huku mengine yakiwa na maji kidogo ukilinganisha na mahitaji ya Wananchi lakini Watendaji wa DAWASA wameshindwa kueleza sababu iliyopelekea uhaba huo wa maji. Aweso amesema “Mwanzoni kulipokuwa kunakosekana maji tulikuwa tunasema shida ni vyanzo vya maji vimekauka hakuna maji, TANESCO umeme hamna lakini leo vyanzo vyote vina maji, umeme upo, niambieni kwanini hatuna maji kwenye matanki?, kwanini Wananchi wanateseka, wanalalamika wanapiga kelele kwenye Serikali, niiombe Bodi kama CEO DAWASA hajaenda likizo kidogo akakae likizo kwanza atuachie nafasi yetu tutaisimamia wenyewe” Ziara ya Aweso leo imekuja baada ya ziara ya Katibu Mkuu wa Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri aliyoifanya kwa siku mbili kujionea utendaji kazi wa DAWASA na hali ya upatikanaji wa maji Dar es salaam ambapo amebaini uzembe aliouwasilisha kwa Waziri Aweso leo ikiwemo miundombinu ya maji kuwa chakavu, maji kupotea bila usimamizi, Watendaji wa DAWASA wa ngazi za chini kutopewa stahiki zao muhimu na kupelekea kufanya kazi bila hamasa nzuri na hata kupelekea kuwajibu vibaya Wateja wa maji. #MillardAyoUPDATES

millardayo

66,035 просмотров • 2 лет назад