正在加载视频...
视频加载失败
Kumwaga maji.
188,793 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)
10 条评论

Daktari Wa Manesi 💉💊1 年前
Ubungo tuna siku ya pili hatuna maji kumbe kuna watu wanamwaga tu maji 😄

🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿1 年前
Kumbe kuna watu huwa wanasoma Post zangu kimya kimya 😅😂😅🙌🏽🙌🏽🙌🏽

Tindo1 年前
Jua bado kali sana mzee... Subiri kupoe kidgo

M A G I R I1 年前
😀😀

MZUNGU PORI💪1 年前
Maji ya kawaida si yapogo bombani na ya mvua sasa haya yanakuwaje maji ya kawaida 🙌🙌🤣🤣

𝔇 𝔞 𝔳 𝔢 🇹🇿☆1 年前
Na ni salama kutumia kukata kiu.

Pierre Bemba1 年前
Mzee hawa watu huwa unawapata wapi😂😂😂😂😂

M A G I R I1 年前
Kula shule hiyo, mzee.

~Brown Bear~1 年前
Maji gani tena na mtaani hakuna maji

Baba Assad CAG🇹🇿1 年前
Kwamba hayo maji unaweza kunywa? Anyway mbona hajasema wale nini ili wapate maji mengi?

