Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Lake Tanganyika

39,734 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 9

Фото профиля #Kigogo wa mama🇱🇷
#Kigogo wa mama🇱🇷1 год назад

Kuna mpuuzi analinambia ziwa Tanganyika zinaukubwa sawa na ziwa na asha boko😂

Фото профиля ayubu nakolwa
ayubu nakolwa1 год назад

Malawi kaiacha mtumbad

Фото профиля Omary Sadiki
Omary Sadiki1 год назад

Malawi ni ziwa nyasa

Фото профиля Mchimba chumvi
Mchimba chumvi1 год назад

Duh hata sikua najua kua hili ziwa linasifa zote hizi pia sikujua kua linafika Hadi zambia

Фото профиля salum salum
salum salum1 год назад

Naomba kujua nyasa na Tanganyika ipi ina maji meupe

Фото профиля mwaisa_mtumbad
mwaisa_mtumbad1 год назад

Tanganyika

Фото профиля Africa Overview 🌍
Africa Overview 🌍1 год назад

@TweetHelperBot download this

Фото профиля DIASPORA 💎
DIASPORA 💎1 год назад

Lake tangenyike

Фото профиля 𓏤𓏤𓇌 Miosis 🧬𓀷𓋘𓋙𓁿𓂀 mitosis 🧬𓁿𓋙
𓏤𓏤𓇌 Miosis 🧬𓀷𓋘𓋙𓁿𓂀 mitosis 🧬𓁿𓋙1 год назад

that lake did not see non-avian dinosaurs; they went extinct 66 million years ago.

Похожие видео

Kaka Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Tanganyika unayozungumza ipo wapi? Rais wa Zanzibar yupo. Rais wa Zanzibar anaongoza serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Hujisikii fahari kuipigania Tanganyika? Tanganyika ambayo itakuwa na serikali yake kamili, serikali ambayo itasimamia masuala yote ya Tanganyika katika muungano. Au una hofu kwa kuwa ACT haijaenea vizuri Tanganyika? Tanganyika imetoa mamlaka yake yote kwa muungano, maana yake Raisi wa JMT ndio anasimamia. Sasa tuna Rais anatako Zanzibar, yeye anasimamia rasilimali zote za Tanganyika. Kama Rais wa Tanzania anaweza kutoka upande wowote wa muungano, kwanini Rais wa Zanzibar hawezi kutoka upande wowote wa Muungano? Je, Muungano huu ni wa upande mmoja tu? Katiba ya Muungano ipo, katiba ya Zanzibar ipo, katiba ya Tanganyika ipo wapi? Mambo ya Tanganyika yameelezwa na kuwekewa utaratibu katika katiba gani? Tanganyika yetu ipo wapi? Muungano huu ni wa kikatiba au kimkataba? Kama ni muungano wa kikatiba, katiba ya Tanganyika imefichwa wapi? Kama ni mkataba, mkataba wa Muungano umefichwa wapi? Zipo wizara katika serikali ya Muungano ambazo hazihusiki na masuala ya muungano lakini zinaongozwa na wazanzibari. Lakini hakuna Mtanganyika anaweza kuwa Waziri Zanzibar. Hii inakupendeza? Kwanini kila Mzanzibari ni Mtanzania lakini siyo kila Mtanzania ni Mzanzibari? Kwanini mnaona kila anayehoji muundo wa Muungano anaeneza chuki? NB; OGOPA sana habari yako kuchapishwa na TBC.

Martin Maranja Masese

105,608 просмотров • 2 лет назад