Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

31,390 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

9 Yorum

Latto 𝕏 profil fotoğrafı
Latto 𝕏1 yıl önce

Waziri wa habari sanaa na Michezo kawataja Dogo Pateni na Zuchu wakati anawasilisha bajeti Na kusema kuwa unapoenda kinyume na Maadili hatakama mgeni rasmi ni nani Utachukuliwa Hatua... Video kwa Comments 👇

Latto 𝕏 profil fotoğrafı
Latto 𝕏1 yıl önce

Ikaendelea...

Latto 𝕏 profil fotoğrafı
Latto 𝕏1 yıl önce

Huyu hapa akiongea kwa urefu

Solar Heavy profil fotoğrafı
Solar Heavy1 yıl önce

this one is such a vibe

Dii Dimplezz profil fotoğrafı
Dii Dimplezz1 yıl önce

mbungeee hana kazi bdooo hajengee barabara kwahoo

Elly profil fotoğrafı
Elly1 yıl önce

)))

Mabuba profil fotoğrafı
Mabuba1 yıl önce

Singeli iliyofanya watu wachangamke.😂😂

Official nahason profil fotoğrafı
Official nahason1 yıl önce

Badala uangalie maendeleo y nchi na barabara uko busy n kuchngamsh watu

BeardedParaTrooper profil fotoğrafı
BeardedParaTrooper1 yıl önce

Nigga speak about how u gon fix our budget, we like Zuchu and Paten okay?

Benzer Videolar

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda amemtaka Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Mrisho Gambo kuwaomba msamaha hadharani watu wote aliowahi kuwaumiza,kuwachonganisha nakuharibu maisha yao Makonda ametoa kauli hiyo mbele ya Naibu waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt Doto Biteko kwenye maadhimisho ya miaka 61 ya uhuru wa Tanganyika na Zanzibar ambayo yamefanyika katika viwanja vya Kilombero Mkoani Arusha “Nampongeza kwasababu moja kubwa, juzi ameomba radhi Bungeni, amechonganisha chonganisha sana Watu hapa na leo hapa ameanza kumsifia Mkuu wangu wa Wilaya kwa sifa zilezile ambazo alinisifiaga Mimi nilipoteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa lakini sasa hivi hata kulitamka jina la Makonda hawezi” “Namsifu kwa sababu aliomba radhi, alikuwa anaenda kuharibu maisha ya Watu kwa kuwadanganya Wabunge na kama Bunge lisingekuwa makini na Waziri wetu Mchengerwa kuwa imara, leo hii kuna Watu wangepoteza kazi kwasababu yake” “Sasa ombi langu kwake moja awaombe radhi Watu wote aliowafitini kwa kuwaumiza, kuwachonganisha na kuharibu maisha yao, safari ya Mbinguni hata Mimi naitaka, mambo yalivyoendelea yalipelekea simu ninazopata, unamuita Waziri wetu muongo?, hii stendi inayoanza kujengwa, hii nimemuomba Mchengerwa, ilikuwa design ndogo haikidhi viwango, akaongeza bajeti bilioni 30 ni faida kwa Wanancgi wa jiji, halafu unamuita Waziri wetu muongo!?” “Kwa kuwa Bunge limemsamehe, Mimi moyoni sina shaka nae lakini sharti langu moja aliowaumiza na kuharibu maisha yao awaombe radhi ili mbele ya Mungu na mbele ya Wanadamu tupate kibali cha kuifanya kazi hii” #MillardAyoUPDATES

millardayo

47,634 görüntüleme • 1 yıl önce

FOOTBALL 🤝MAISHA Juzi niliandika kidogo kuhusu mpira wa miguu na tafsiri ya moja kwa moja ya maisha , kwenye video alikuwa Ahmed Ally na vijana wenye changamoto ya utindio wa Ubongo kwa pamoja walikuwa wakifanya hamasa na kaulimbiu ni #HiiTunavuka Huko nyuma Ziliwahi kuwekwa slogan nyingi sana lakini hazikuweza kuwafikisha Simba walipo leo , zilifanywa hamasa hasa lakini hazikuwafikisha walipofika leo 2024/25 ni mwaka wa bahati kwa Semaji , mapema tu mwezi August alitupa msemo wa #UbayaUbwela kwenye Pre Season imetoboa na ndio msemo bora wa kimichezo nchini consistently tangu alipoutamka , kwenye leo LeoTena ya CloudsFM alisema yeye ni mtoto wa Yombo na huo msemo ameutoa huko kitaa well Nchi imeupokea na sasa inauishi. Juzi baada ya kupoteza kwa bao 2 , akaacha Fadlu na vijana wake wafanye wanachojua mazoezini yeye akawaambia mashabiki hii haijaisha na Jumatano Tunavuka nchi nzima ikaanza kuimba #HiiTunavuka Jioni ya April 9 , Shomari Kapombe kwenye panati ya Maamuzi , Jukwaa limesimama kelele kwa mbaaaali , jukwaani Semaji amejikunja kama kinda la Ndege usoni chozi likimdondoka Oooooh Yes , Goaaaaaaal na Mnyama amefuzu Nusu Fainali 🙌 Kwenye kilele cha furaha semaji anashindwa kujizuia sura imemaliza tabasamu lote kilichokuwa karibu ni machozi tu Mwanaume amelia , kwa sababu ya mpira Ahmed amedondosha chozi , kwa sababu ya mpira kila nyumba ya mwanasimba leo ni sikukuu Kaka nakukubali 👊 unawaheshimisha wanasimba , unawafanya wauishi mpira 👊

Shaffih Dauda

103,321 görüntüleme • 1 yıl önce

Mmoja wa viongozi na mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Same Andrew Mchome amelaani kauli ya Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho John Heche kutangaza kwamba ataandikia barua FIFA ili wasitishe mashindano ya AFCON nchini Tanzania kwa madai ya kuwepo kwa vikundi vilivyopanga kufanya vitendo vya kigaidi. Hatua hiyo imekuja kufuatia Jeshi la Polisi nchini Tanzania kuwakamata watuhumiwa kadhaa katika maeneo mbalimbali ya nchi wanaodaiwa kujihusisha na vitendo vya kigaidi licha ya kwamba bado vitendo vyao havijathibitishwa Mahakamani Akizungumza na waandishi wa Habari Leo Julai 29, 2026 Jijini Dar es Salaam Mchome amesema kauli ya Heche ni ya kupingwa kwa sababu inachafua taswira ya nchi kimataifa, na kuongeza kuwa hakuna chama chochote cha siasa kinachopinga maendeleo ndani ya nchi yake hivyo kitendo cha Heche kujitokeza hadharani na kudai ataiandikia FIFA barua kupinga kufanyika kwa AFCON si cha kiungwana "Juzi nimemsikia akizungumza anasema kwamba tutaandika barua FiFa kuzuia mashindano ya AFCON kutokana na kuwepo kwa viashiria vya UGAIDI, kilichopo kwenye nchi yetu sasa hivi ni kwamba, Kuna watu ambao wana tuhuma ya kupanga vitendo hivyo lakini hakuna Mahakama iliyohukumu mtu kutokana na vitendo vya UGAIDI" amesema mchome Ameongeza kuwa Kauli ya Makamu mwenyekiti huyo sio ya kizalendo kwa taifa na yaweza kutia hofu wageni wanaotamani kuja kuwekeza nchini lakini pia kutembelea vivutio vya utalii. Mchome amemtaka Heche kuacha kukigombanisha chama chao na wananchi kwani anaamini kupitia mashindano hayo ya AFCON watanzania wataenda kunufaika kwa namna moja ama nyingine kupitia ugeni mkubwa utakao kuwa nchini. "Mpenda maendeleo yeyote hawezi kuwa na roho kama hiyo ya kupinga Maendeleo, ugeni utakaoingia nchini utasaidia hadi mamalishe kupata ridhiki zao, pia utafungua ukurasa mwingine kwenye sekta ya utalii" amesema mchome

ROYAL TELEVISION PLUS

20,586 görüntüleme • 3 gün önce

Hii video imejaa ukweli mtupu, kuna mambo watu wanakwepa kuyasema hasa kuhusu hali ya usalama na mauaji ya watanganyika kwa sasa -- Kuna mauaji makubwa sana ya wakristo, makubwa sana -- Kuna viongozi wa dini wakristo wameshambuliwa sana, lakini mtu kama Mwaipopo yuko mtaani, angesema hayo maneno mkristo ingekuwa balaa -- Kuna viongozi wa Dini wakristo usalama wao umeharibika mpaka wamekimbia nchi -- Kuna vijana wengi wa kristo hasa wa kiume wanauwawa kwa kasi sana na hii serikali, VIJANA WA KIUME, sijui kama mnaelewa maana yake nini kwenye ukoo na uzazi hasa kwa tamaduni za kitanzania -- Wazanzibar karibu wote wako upande wa matendo ya Samia, nadhani hata juzi mmeona Jusa, anasema wazanzibar wanapokutana, issue ya Jusa pale ni uzanzibar na udini mtupu, lakini sio kwamba hajui matendo ya Samia sio ya mwanasiasa, ila anachofanya samia kinamfurahisha kama sababu ya kufanana naye uzanzibar na dini sio suala jingine -- Mauji ya October ilikuwa ni zaidi ya uchaguzi ilikuwa ni message, yalifanywa na vikundi kutoka Zanzibar na jeshi la waganda, lakini kikosi kilichochinja sana watu kwa risasi kilitoka Zanzibar, lakini hakuna hata SISIMIZI aligushwa kule Zanzibar kama mnafikiria Samia fanyi haya mambo kwa msukumo wa kidini na Uzanzibar mtakuwa mmepotea sana, Kuita wanaharakati Magaidi ni mwanzo wa damu anayotaka kumwaga, kesi zote anazotengeneza zimelenga kumwaga damu. Kesi aliyempa Lissu ni sababu anataka kumchinja kwa kushinikiza mahakama Watanganyika tuamke, tuko na shida kubwa sana mbele yetu, tuko na vita ya kisiasa lakini pia ya kiroho, hii chinja chinja sio ya kawaida, kushambulia wakristo sio hali ya kawaida, wale Mbwa mwitu wa mwaipopo wengi ni wazanzibar na wamepewa kibali kufanya hayo mambo na Ikulu, Kuna idadi kubwa sana ya Wazanzibar wanakuja Tanganyika kufanya kazi maalumu za Abdul, Hata Walinzi wa Samia kwa sasa wote ni Wazanzibar, IKULU imejaa wazanzibar kwa 85% na Jeshi komandi zake 90% ni wazanzibar kwa malengo yale yale, kutofyeka Watanzania

Think Different

16,583 görüntüleme • 19 gün önce