Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

LATRA VS KATARAMA NAN KAONEWA??!! 😇

53,187 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

10 Yorum

Jorafra Transport Agency Limited profil fotoğrafı
Jorafra Transport Agency Limited1 yıl önce

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Hii chip zao nyingi zinaungua kutokana umeme wa gari hizo la Latra zinaungua sana hasa kwenye gari za umeme mwingi nadhan waliofunga kwenye katarama walifunga zinazoendana na umeme wa gari watu wa VTS wanajua maana katarama hana Kampuni ya VTS ingekuwa ni ya ulaghai isingetuma.

ALL ABOUT BUSES (AAB)🇹🇿 profil fotoğrafı
ALL ABOUT BUSES (AAB)🇹🇿1 yıl önce

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Well said asee

Shabby Alhadji profil fotoğrafı
Shabby Alhadji1 yıl önce

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Haiwezeken kitu kama hicho kama ingekuwa anakwenda mpaka 120kph it means angekuwa nafika check point kabla ya muda na angekuwa anafika final destination mapema zaid kabla ya muda husika ,hizi zote ni chokochoko tu

𝐜𝐡𝐮𝐦𝐚 𝐤𝐧𝐨𝐰𝐬 🐧🐘 profil fotoğrafı
𝐜𝐡𝐮𝐦𝐚 𝐤𝐧𝐨𝐰𝐬 🐧🐘1 yıl önce

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Izi chokochoko ni kulinda biashara za viongozi na viongozi wengi wamewekeza kwenye makampuni ya mabasi kwa kununua michina, mfano sauli alifanyiwa sana ivi bahada ya mh sipika kuwekeza kwenye zile za kijani za mbeya.

ALL ABOUT BUSES (AAB)🇹🇿 profil fotoğrafı
ALL ABOUT BUSES (AAB)🇹🇿1 yıl önce

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Yaan

Collin7 profil fotoğrafı
Collin71 yıl önce

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Kwanini msimpe onyo au karipio kwanza??? Uwekezaji huo wote Mbona wengine mmewapa karipio na onyo,kwanini huyu? KUNA NINI????????

Michael Shoo profil fotoğrafı
Michael Shoo1 yıl önce

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Cha Kujiuliza Pia inakuwaje VTS ya Katarama inatuma Taarifa LATRA ilihali si Cha LATRA nani aliyefanya Configuration na Kuifanya VTS iendane na Mfumo wa LATRA

samwel_mvungi profil fotoğrafı
samwel_mvungi1 yıl önce

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Sasa kama anatembea kwa speed ya 120 mbona final destination wanafika pamoja na Allys na hata kama wakitofautiana ni kama dakika 10 tu

I'm April 🧢 profil fotoğrafı
I'm April 🧢1 yıl önce

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Tunahitaji matokeo ya checkpoint je alifika kabla ya mda au ndani ya mda sababu hizo checkpoint zenu hazizuii ajali ndio sababu hakuna gari imewahi pata ajali ndani ya checkpoint issue ya usalama ni suala la dereva wa chombo husika kuweka umakini.

MALLESSA'S BUS SERVICES profil fotoğrafı
MALLESSA'S BUS SERVICES1 yıl önce

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Mwenzako akinyolewa zako tia maji

Benzer Videolar

Non expert Vs Expert 🤠😇
0:50

Sensitive content

Non expert Vs Expert 🤠😇

Simi😇Lore comics

13,876 görüntüleme • 1 yıl önce