Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

LATRA VS KATARAMA NAN KAONEWA??!! ๐Ÿ˜‡

53,187 views โ€ข 1 year ago โ€ขvia X (Twitter)

10 Comments

Jorafra Transport Agency Limited's profile picture
Jorafra Transport Agency Limited1 year ago

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Hii chip zao nyingi zinaungua kutokana umeme wa gari hizo la Latra zinaungua sana hasa kwenye gari za umeme mwingi nadhan waliofunga kwenye katarama walifunga zinazoendana na umeme wa gari watu wa VTS wanajua maana katarama hana Kampuni ya VTS ingekuwa ni ya ulaghai isingetuma.

ALL ABOUT BUSES (AAB)๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ's profile picture
ALL ABOUT BUSES (AAB)๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ1 year ago

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Well said asee

Shabby Alhadji's profile picture
Shabby Alhadji1 year ago

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Haiwezeken kitu kama hicho kama ingekuwa anakwenda mpaka 120kph it means angekuwa nafika check point kabla ya muda na angekuwa anafika final destination mapema zaid kabla ya muda husika ,hizi zote ni chokochoko tu

๐œ๐ก๐ฎ๐ฆ๐š ๐ค๐ง๐จ๐ฐ๐ฌ ๐Ÿง๐Ÿ˜'s profile picture
๐œ๐ก๐ฎ๐ฆ๐š ๐ค๐ง๐จ๐ฐ๐ฌ ๐Ÿง๐Ÿ˜1 year ago

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Izi chokochoko ni kulinda biashara za viongozi na viongozi wengi wamewekeza kwenye makampuni ya mabasi kwa kununua michina, mfano sauli alifanyiwa sana ivi bahada ya mh sipika kuwekeza kwenye zile za kijani za mbeya.

ALL ABOUT BUSES (AAB)๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ's profile picture
ALL ABOUT BUSES (AAB)๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ1 year ago

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Yaan

Collin7's profile picture
Collin71 year ago

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Kwanini msimpe onyo au karipio kwanza??? Uwekezaji huo wote Mbona wengine mmewapa karipio na onyo,kwanini huyu? KUNA NINI????????

Michael Shoo's profile picture
Michael Shoo1 year ago

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Cha Kujiuliza Pia inakuwaje VTS ya Katarama inatuma Taarifa LATRA ilihali si Cha LATRA nani aliyefanya Configuration na Kuifanya VTS iendane na Mfumo wa LATRA

samwel_mvungi's profile picture
samwel_mvungi1 year ago

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Sasa kama anatembea kwa speed ya 120 mbona final destination wanafika pamoja na Allys na hata kama wakitofautiana ni kama dakika 10 tu

I'm April ๐Ÿงข's profile picture
I'm April ๐Ÿงข1 year ago

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Tunahitaji matokeo ya checkpoint je alifika kabla ya mda au ndani ya mda sababu hizo checkpoint zenu hazizuii ajali ndio sababu hakuna gari imewahi pata ajali ndani ya checkpoint issue ya usalama ni suala la dereva wa chombo husika kuweka umakini.

MALLESSA'S BUS SERVICES's profile picture
MALLESSA'S BUS SERVICES1 year ago

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Mwenzako akinyolewa zako tia maji

Related Videos

Non expert Vs Expert ๐Ÿค ๐Ÿ˜‡
0:50

Sensitive content

Non expert Vs Expert ๐Ÿค ๐Ÿ˜‡

Simi๐Ÿ˜‡Lore comics

13,876 views โ€ข 1 year ago