Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

LATRA VS KATARAMA NAN KAONEWA??!! 😇

53,187 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Jorafra Transport Agency Limited
Jorafra Transport Agency Limited1 год назад

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Hii chip zao nyingi zinaungua kutokana umeme wa gari hizo la Latra zinaungua sana hasa kwenye gari za umeme mwingi nadhan waliofunga kwenye katarama walifunga zinazoendana na umeme wa gari watu wa VTS wanajua maana katarama hana Kampuni ya VTS ingekuwa ni ya ulaghai isingetuma.

Фото профиля ALL ABOUT BUSES (AAB)🇹🇿
ALL ABOUT BUSES (AAB)🇹🇿1 год назад

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Well said asee

Фото профиля Shabby Alhadji
Shabby Alhadji1 год назад

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Haiwezeken kitu kama hicho kama ingekuwa anakwenda mpaka 120kph it means angekuwa nafika check point kabla ya muda na angekuwa anafika final destination mapema zaid kabla ya muda husika ,hizi zote ni chokochoko tu

Фото профиля 𝐜𝐡𝐮𝐦𝐚 𝐤𝐧𝐨𝐰𝐬 🐧🐘
𝐜𝐡𝐮𝐦𝐚 𝐤𝐧𝐨𝐰𝐬 🐧🐘1 год назад

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Izi chokochoko ni kulinda biashara za viongozi na viongozi wengi wamewekeza kwenye makampuni ya mabasi kwa kununua michina, mfano sauli alifanyiwa sana ivi bahada ya mh sipika kuwekeza kwenye zile za kijani za mbeya.

Фото профиля ALL ABOUT BUSES (AAB)🇹🇿
ALL ABOUT BUSES (AAB)🇹🇿1 год назад

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Yaan

Фото профиля Collin7
Collin71 год назад

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Kwanini msimpe onyo au karipio kwanza??? Uwekezaji huo wote Mbona wengine mmewapa karipio na onyo,kwanini huyu? KUNA NINI????????

Фото профиля Michael Shoo
Michael Shoo1 год назад

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Cha Kujiuliza Pia inakuwaje VTS ya Katarama inatuma Taarifa LATRA ilihali si Cha LATRA nani aliyefanya Configuration na Kuifanya VTS iendane na Mfumo wa LATRA

Фото профиля samwel_mvungi
samwel_mvungi1 год назад

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Sasa kama anatembea kwa speed ya 120 mbona final destination wanafika pamoja na Allys na hata kama wakitofautiana ni kama dakika 10 tu

Фото профиля I'm April 🧢
I'm April 🧢1 год назад

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Tunahitaji matokeo ya checkpoint je alifika kabla ya mda au ndani ya mda sababu hizo checkpoint zenu hazizuii ajali ndio sababu hakuna gari imewahi pata ajali ndani ya checkpoint issue ya usalama ni suala la dereva wa chombo husika kuweka umakini.

Фото профиля MALLESSA'S BUS SERVICES
MALLESSA'S BUS SERVICES1 год назад

@BusesDaily @BusesNation @BusWorldTZ @climberJet @mwanza_buses @PabloYende @PiereTouch @SouthernBuses @TBoundBuses Mwenzako akinyolewa zako tia maji

Похожие видео

Non expert Vs Expert 🤠😇
0:50

Sensitive content

Non expert Vs Expert 🤠😇

Simi😇Lore comics

13,876 просмотров • 1 год назад