Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Leseni udaktari…
37,634 görüntüleme • 2 yıl önce •via X (Twitter)
10 Yorum

Hii ya Pharmacy council ndo kabisaaa…more than 165k per year halafu sijui wanafanyia nini!😂😂..ilitakiwa ada iwe 50k tu.

Si ni wito!? Kwanini tulipe Ada kutumikia Wito!?

@NormanJonasMD hii nzr. But last week ( 6 days ago) nime-renew leseni kwa 100k pia nimelipa deni la mwaka jana 100k jumla laki 2 Au hili la 150k nimeanza kutumika lini?

😅😅 haya bwana 😅

At least hii kada kuna namna viongozi huwa wanajirudi na kuiangalia. Kuna kada ya Mwenyekiti wangu @bajabiri, hii kada ni tatizo.

@ummymwalimu bado pharmacy council ni laki moja na sitini na tano (165k) nimeandika nikiwa nalia adi kwikwi na hawajaweza kujenga ata ofisi 😭😭😭😭

MCT Income per year ~500mil+

Katika changamoto zoote alizo nazo Daktari wameona hii ndo kubwa zaidi? Unadhani kama mngewalipa vizuri hawa watumishi wa afya wangeshindwa kulipa hiyo laki moja kwa mwaka? Kudhalilishana tu.

Vpi kuhusu mshahara na posho nyingine 🤔

Good start lakini 150k kwa miaka miwili bado ni kubwa.
