Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Maelezo mazito ya Dr Silaa kuhusu Mwamba na Samia

123,931 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля Prof. Muhitira P. John
Prof. Muhitira P. John1 год назад

Nadhani mmeelewa kwa nini Dr. Slaa alikamatwa jana usiku wa manane. Hayo ni maelekezo toka juu ya kwa nini anatoa siri za watesi wa wananchi. Mimi binafsi nilishaiandika hii na kusema Mbowe alishakubali kufuata utaratibu wa CCM toka mwaka 2008. Sisi tumo ndani tunajua kila kitu.

Фото профиля Sengo
Sengo1 год назад

Enyi wajumbe hizo pesa chukua zitumie ila siku ya uchaguzi hakikisha unatiki kwa TUNDU A. LISSU na JOHN HECHE. MUNGU AWABARIKI SANAA.

Фото профиля Dennis Bongole
Dennis Bongole1 год назад

Stories from defector Slaa. Ye aseme tu ila ikithibitika si kweli atasafishaje huku anapochafua? If Mr Mbowe needs Money asingehitaji kutoka kwa Samia. Mbowe ana watu wengi sana wakumpa hizo pesa kama ninkweli anazihitaji

Фото профиля Kunta Kinte
Kunta Kinte1 год назад

Huyu huyu Dr Slaa ambae wakati anakunywa mvinyo akiwa Balozi kule Sweden alituambia kuwa Mbowe ni gaidi?

Фото профиля JaJu
JaJu1 год назад

Kuna mambo ukisikia mtu mzima anaongea kama hauna akili ya kuchambua ndo unayabeba kama yalivyo...Stori za Abunuasi kabisa hizi.

Фото профиля Rhimba Koitumeti Ole kupere
Rhimba Koitumeti Ole kupere1 год назад

Ashawahi kusema chadema tunjiteka wenyewe huyu huyu!! Leo anatoa taarifa za kidwanzi namna na mnaona anaongea ukweli aseme kwanza chadema walimteka ndipo tumuamini huyu mzee alivyoogopa tu bunduki enzi magu basi amekuwa akitanga tanga tu Bila kujielewa!!

Фото профиля 公式:ちぃたん☆広島
公式:ちぃたん☆広島2 лет назад

I'm Chiitan Japanese crazy mascot☺️Chiitan loves death metal💀💕

Фото профиля NGONYANI JR🇹🇿
NGONYANI JR🇹🇿1 год назад

Pongezi Kwa JESHI LA POLISI HUYU AKATHIBITISHE HAYO MADAI YAKE POLISI AWATAJE HAO ANAOWAITA VYOMBO VYA USALAMA TUMETULIA NA AMANI ANATAKA KUTULETEA VURUGU

Фото профиля Charles Mushobozi
Charles Mushobozi1 год назад

Kwamba Mbowe hana hela ya kuhonga hadi apewe na raisi, nonsense!

Фото профиля CoolMosi
CoolMosi1 год назад

Tukirudi nyuma tukumbuke huyuhuyu DR.Slaa alisema Mbowe ni Gaidi. Kikwete aliwahi kusema za kuambiwa changanya na zako

Фото профиля Winon Cinon
Winon Cinon1 год назад

Mungu nisaidie uzee wangu usiwe wa ovyo namna hii, uzushi na uzandiki ndio character ya Slaa

Похожие видео