Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

#Maisha #sorry kwa watakaokwazika🙏

27,792 views • 2 years ago •via X (Twitter)

10 Comments

🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿's profile picture
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿2 years ago

Hii sauti nlijua ni ya kutangaza mpira… kumbe unaongea hivyo ukiwa serious 😅

Beno Lyimo's profile picture
Beno Lyimo2 years ago

Mtu anayedharau chakula haijui njaa, uzuri haya mambo unajifunza through experience.. ni suala la muda 😂😂

Yuzalii 52's profile picture
Yuzalii 522 years ago

Kama kuna mtu atakwazika kwa hiki Basi na mimi naamini hawezi kuwa mzazi bora kwa wanae na kizazi kijacho! Upo sahihi 100%

Elikunda Materu's profile picture
Elikunda Materu2 years ago

Mzazi anasema yani mm nimekuwa kwa mateso na mwanangu ateseke haiwezekani ila pumba na mchele ni baada ya matendo hayo.

william lilangala's profile picture
william lilangala2 years ago

Kwa hakika Wazaz tunatakiwa tubadilike haswa vijana malezi yetu sio mazuri kwa watoto wetu

Sunday Sunday's profile picture
Sunday Sunday2 years ago

Hakika @upete_nazareth , huruma siyo malezi

Tnc Zoom Media's profile picture
Tnc Zoom Media2 years ago

Issue ya malezi (mtoto kudekezwa) na issue ya Pesa/umasikini nadhani ipo separate kabisa na jinsi mtoto anavyolelewa. Wapo wengi sana ambao wamelelewa huku wakipata kila kitu LAKINI wapo na nidhamu ya Pesa vilevile wapo kapuku lakini katika maisha hawana nidhamu ya Pesa.

Andrew's profile picture
Andrew2 years ago

Kudekeza sana watoto ni jau atakutia fedheaa mda wowote ule

Kushi's profile picture
Kushi2 years ago

Akili kubwa sana hii

Linus's profile picture
Linus2 years ago

Kaka umeongea kitu cha maana sana... Mwenye kuelewa ataelewa...

Related Videos