Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

56,534 Aufrufe • vor 3 Jahren •via X (Twitter)

31 Kommentare

Profilbild von geofrey michael
geofrey michaelvor 3 Jahren

Duh kweli wanasiasa wengi hawana hoja yoyote zaidi ya kuongea utopolo tu.

Profilbild von Che Cliff 🇷🇺
Che Cliff 🇷🇺vor 3 Jahren

😂😂😂😂 "Kwan Hamjua Kwamba Ni Mjomba Wangu Yule." Kuna ka adabu flani kameingia, ka hofu, ka mashaka, ka wasiwasi...Njoo LEMA mjomba wako kakumiss

Profilbild von Augustino
Augustinovor 3 Jahren

Ukimtaja Lema kwenye jukwaa unazidi kupunguza kura zako, nakushauri Bure kabisa usimtaje Lema kabisa itakusaidia. Ni ushauri tu lakini.

Profilbild von Hekimatupu
Hekimatupuvor 3 Jahren

Mkuu mwache ajifurahishe na chawa wake. Mh Lema hapaswi kabisa kumjibu, maana atampa ujiko/umaarufu ambao hastahili.

Profilbild von Depedro Dee (Ed.S.)
Depedro Dee (Ed.S.)vor 3 Jahren

@godbless_lema shakuterewa wooi mbe... Wuya kyen lulakane na nndu yeu.

Profilbild von Giiti SN
Giiti SNvor 3 Jahren

Gambo ameshadata tayari, ameanza kunena kwa Lugha mapema sana.

Profilbild von Malick
Malickvor 3 Jahren

@godbless_lema nilimsikiliza Godbless Lema nikiwa mdogo kupitia kwa Redio , @TBCtaifa , kwenye kipindi Cha uchaguzi walikuwa na kipindi kinaitwa “Mchakato Majimboni” kitu hicho. Kuongea kanakwamba mambo yameshatokea, hiyo binafsi ilinikosha.

Profilbild von ULIZA MDUDESOKA
ULIZA MDUDESOKAvor 3 Jahren

Kuruhusiwa kwa mikutano kumewavuruga Ndezi wote waliopita bila kupingwa. Wanaona Salama yao ni kutembelea nyota ya viongozi wa CHADEMA.

Profilbild von Ndunguru
Ndunguruvor 3 Jahren

Anavyoongea tu hajiamini na watu wamemshtukia

Profilbild von Shadrack
Shadrackvor 3 Jahren

Atunze maneno hilo jimbo ni la lema,akumbuke aliyemuweka hapo ni nguvu ya mtu mmoja tu

Profilbild von Reuben3453
Reuben3453vor 3 Jahren

Lema njoo uone huku ndugu yako ameanza kujamba @godbless_lema

Profilbild von Watu Huru🔻
Watu Huru🔻vor 3 Jahren

Batilda tulimpa mimba hewa huyu sijui tumpe nini?

Profilbild von RC
RCvor 3 Jahren

Nilipokuwa naenda kufanya mtihani wa kidato cha nne, Baba yangu alinitazama usoni na akaona nina hofu kubwa - Akanambia "Mwanangu Hofu yako haina msaada sana kwa sasa zaidi ya kukuchanganya akili" Gambo ana hofu kubwa kwa kumuangalia tu..hofu haina msaada Mh.

Profilbild von @See your self
@See your selfvor 3 Jahren

Hii ilikuwa comedy show ??

Profilbild von Alien 👽👽
Alien 👽👽vor 3 Jahren

Hiyo ni uongo

Profilbild von RamDan🌿Gwataman
RamDan🌿Gwatamanvor 3 Jahren

Gambo ovyo sana

Profilbild von Elibahati Mamuya
Elibahati Mamuyavor 3 Jahren

@godbless_lema Aisee unamsikia huyu jamaa..?! Njoo uchukue jimbo lako, huyu hamna lolote, labda tu ufanyike uchafuzi na sio uchaguguzi kama ilivyokua kpnd cha mwenda zake!! Njoo home Kamanda

Profilbild von Ma'odo
Ma'odovor 3 Jahren

Ndo kaongea nini sasa hapo?

Profilbild von Massanja M.Mpinah
Massanja M.Mpinahvor 3 Jahren

Mbona kama ananena Kwa lugha mapema hii 😂🤣

Profilbild von Ba Glady
Ba Gladyvor 3 Jahren

kumbe jamaa ni senge kweli

Profilbild von LemmeEmKnow
LemmeEmKnowvor 3 Jahren

Hahaha kuna watu vichwa vinawauma.Gambo alishinda au alipewa na Magufuli na tume

Profilbild von gesase Mrimi
gesase Mrimivor 3 Jahren

Mbona Kama vile amebahaa hata hajui anachoongea

Profilbild von barakaeli Nnko
barakaeli Nnkovor 3 Jahren

Pumba kabisa

Profilbild von NJIA NI YESU
NJIA NI YESUvor 3 Jahren

Huyukapanik wala hawezishindana na Lema

Profilbild von Doni Mkello
Doni Mkellovor 3 Jahren

Ivi anajua anachokiongea huyu

Profilbild von Loth .Olais.Motika
Loth .Olais.Motikavor 3 Jahren

Yaani umeonyesha jinsi ulivyo dhaifu kisiasa ,watu wanataka kujua ufanya nini ? Arusha ,wwe unatuletea upuuzi

Profilbild von Shayo
Shayovor 3 Jahren

Haya ni madhara ya kuwekwa kwenye kiti kwa dhulma,presha haziishi

Profilbild von Kevin
Kevinvor 3 Jahren

Washaanza kutapatapa. 😂😂 Tarehe 21 tunakiwashaa.

Profilbild von Active Shooter..
Active Shooter..vor 3 Jahren

Mbona amepaniki.

Profilbild von mutey15
mutey15vor 3 Jahren

Bwana Lema tunakuomba usimjibu chochote msenge huyu,nguruwe pori,tuachie sisi tumjaze shahawa mdomoni mwake kwa sababu ana kiu sana! ok?

Profilbild von beberu mweusi
beberu mweusivor 3 Jahren

Anaongea kwa hofu sana! Kama alisema serikal walikuja na kondom na mafuta la lotions huyu yupo salama kweli?

Ähnliche Videos

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amemtaka Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (DAWASA), Kiunga Kingu, akae pembeni ya majukumu yake kwa muda, pia amemsimamisha kazi, Mkurugenzi wa Uzalishaji na Usambazaji Maji-DAWASA, Shaban Mkwanywe na kuanzia leo June 30,2024 ameiweka DAWASA chini ya uangalizi maalum wa Wizara ya Maji ili kuboresha utendaji wake kufuatia uzembe uliopelekea visima kukosa maji na kufanya Wakazi wa Dar es salaam kukosa maji. Aweso ametangaza uamuzi huo leo baada ya kufanya ziara ya kimkakati na ya kushtukiza katika Ofisi za DAWASA zilizopo Ubungo Dar es salaam ili kupata maelezo ya Watendaji ya sababu za Watu kukosa maji na baada ya kushindwa kuridhishwa na majibu aliamua kuzungukia matanki ya maji katika maeneo manne tofauti ikiwemo tanki la Ardhi UDSM na Kibamba huku akituma Timu nyingine kwenda kukagua matanki ya Kigamboni ambapo imebainika matanki kadhaa hayana maji huku mengine yakiwa na maji kidogo ukilinganisha na mahitaji ya Wananchi lakini Watendaji wa DAWASA wameshindwa kueleza sababu iliyopelekea uhaba huo wa maji. Aweso amesema “Mwanzoni kulipokuwa kunakosekana maji tulikuwa tunasema shida ni vyanzo vya maji vimekauka hakuna maji, TANESCO umeme hamna lakini leo vyanzo vyote vina maji, umeme upo, niambieni kwanini hatuna maji kwenye matanki?, kwanini Wananchi wanateseka, wanalalamika wanapiga kelele kwenye Serikali, niiombe Bodi kama CEO DAWASA hajaenda likizo kidogo akakae likizo kwanza atuachie nafasi yetu tutaisimamia wenyewe” Ziara ya Aweso leo imekuja baada ya ziara ya Katibu Mkuu wa Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri aliyoifanya kwa siku mbili kujionea utendaji kazi wa DAWASA na hali ya upatikanaji wa maji Dar es salaam ambapo amebaini uzembe aliouwasilisha kwa Waziri Aweso leo ikiwemo miundombinu ya maji kuwa chakavu, maji kupotea bila usimamizi, Watendaji wa DAWASA wa ngazi za chini kutopewa stahiki zao muhimu na kupelekea kufanya kazi bila hamasa nzuri na hata kupelekea kuwajibu vibaya Wateja wa maji. #MillardAyoUPDATES

millardayo

66,035 Aufrufe • vor 2 Jahren