Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Maji utaita mma.
56,534 Aufrufe • vor 3 Jahren •via X (Twitter)
31 Kommentare

Duh kweli wanasiasa wengi hawana hoja yoyote zaidi ya kuongea utopolo tu.

😂😂😂😂 "Kwan Hamjua Kwamba Ni Mjomba Wangu Yule." Kuna ka adabu flani kameingia, ka hofu, ka mashaka, ka wasiwasi...Njoo LEMA mjomba wako kakumiss

Ukimtaja Lema kwenye jukwaa unazidi kupunguza kura zako, nakushauri Bure kabisa usimtaje Lema kabisa itakusaidia. Ni ushauri tu lakini.

Mkuu mwache ajifurahishe na chawa wake. Mh Lema hapaswi kabisa kumjibu, maana atampa ujiko/umaarufu ambao hastahili.

@godbless_lema shakuterewa wooi mbe... Wuya kyen lulakane na nndu yeu.

Gambo ameshadata tayari, ameanza kunena kwa Lugha mapema sana.

@godbless_lema nilimsikiliza Godbless Lema nikiwa mdogo kupitia kwa Redio , @TBCtaifa , kwenye kipindi Cha uchaguzi walikuwa na kipindi kinaitwa “Mchakato Majimboni” kitu hicho. Kuongea kanakwamba mambo yameshatokea, hiyo binafsi ilinikosha.

Kuruhusiwa kwa mikutano kumewavuruga Ndezi wote waliopita bila kupingwa. Wanaona Salama yao ni kutembelea nyota ya viongozi wa CHADEMA.

Anavyoongea tu hajiamini na watu wamemshtukia

Atunze maneno hilo jimbo ni la lema,akumbuke aliyemuweka hapo ni nguvu ya mtu mmoja tu

Lema njoo uone huku ndugu yako ameanza kujamba @godbless_lema

Batilda tulimpa mimba hewa huyu sijui tumpe nini?

Nilipokuwa naenda kufanya mtihani wa kidato cha nne, Baba yangu alinitazama usoni na akaona nina hofu kubwa - Akanambia "Mwanangu Hofu yako haina msaada sana kwa sasa zaidi ya kukuchanganya akili" Gambo ana hofu kubwa kwa kumuangalia tu..hofu haina msaada Mh.

Hii ilikuwa comedy show ??

Hiyo ni uongo

Gambo ovyo sana

@godbless_lema Aisee unamsikia huyu jamaa..?! Njoo uchukue jimbo lako, huyu hamna lolote, labda tu ufanyike uchafuzi na sio uchaguguzi kama ilivyokua kpnd cha mwenda zake!! Njoo home Kamanda

Ndo kaongea nini sasa hapo?

Mbona kama ananena Kwa lugha mapema hii 😂🤣

kumbe jamaa ni senge kweli

Hahaha kuna watu vichwa vinawauma.Gambo alishinda au alipewa na Magufuli na tume

Mbona Kama vile amebahaa hata hajui anachoongea

Pumba kabisa

Huyukapanik wala hawezishindana na Lema

Ivi anajua anachokiongea huyu

Yaani umeonyesha jinsi ulivyo dhaifu kisiasa ,watu wanataka kujua ufanya nini ? Arusha ,wwe unatuletea upuuzi

Haya ni madhara ya kuwekwa kwenye kiti kwa dhulma,presha haziishi

Washaanza kutapatapa. 😂😂 Tarehe 21 tunakiwashaa.

Mbona amepaniki.

Bwana Lema tunakuomba usimjibu chochote msenge huyu,nguruwe pori,tuachie sisi tumjaze shahawa mdomoni mwake kwa sababu ana kiu sana! ok?

Anaongea kwa hofu sana! Kama alisema serikal walikuja na kondom na mafuta la lotions huyu yupo salama kweli?
