Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

56,534 views • 3 years ago •via X (Twitter)

31 Comments

geofrey michael's profile picture
geofrey michael3 years ago

Duh kweli wanasiasa wengi hawana hoja yoyote zaidi ya kuongea utopolo tu.

Che Cliff 🇷🇺's profile picture
Che Cliff 🇷🇺3 years ago

😂😂😂😂 "Kwan Hamjua Kwamba Ni Mjomba Wangu Yule." Kuna ka adabu flani kameingia, ka hofu, ka mashaka, ka wasiwasi...Njoo LEMA mjomba wako kakumiss

Augustino's profile picture
Augustino3 years ago

Ukimtaja Lema kwenye jukwaa unazidi kupunguza kura zako, nakushauri Bure kabisa usimtaje Lema kabisa itakusaidia. Ni ushauri tu lakini.

Hekimatupu's profile picture
Hekimatupu3 years ago

Mkuu mwache ajifurahishe na chawa wake. Mh Lema hapaswi kabisa kumjibu, maana atampa ujiko/umaarufu ambao hastahili.

Depedro Dee (Ed.S.)'s profile picture
Depedro Dee (Ed.S.)3 years ago

@godbless_lema shakuterewa wooi mbe... Wuya kyen lulakane na nndu yeu.

Giiti SN's profile picture
Giiti SN3 years ago

Gambo ameshadata tayari, ameanza kunena kwa Lugha mapema sana.

Malick's profile picture
Malick3 years ago

@godbless_lema nilimsikiliza Godbless Lema nikiwa mdogo kupitia kwa Redio , @TBCtaifa , kwenye kipindi Cha uchaguzi walikuwa na kipindi kinaitwa “Mchakato Majimboni” kitu hicho. Kuongea kanakwamba mambo yameshatokea, hiyo binafsi ilinikosha.

ULIZA MDUDESOKA's profile picture
ULIZA MDUDESOKA3 years ago

Kuruhusiwa kwa mikutano kumewavuruga Ndezi wote waliopita bila kupingwa. Wanaona Salama yao ni kutembelea nyota ya viongozi wa CHADEMA.

Ndunguru's profile picture
Ndunguru3 years ago

Anavyoongea tu hajiamini na watu wamemshtukia

Shadrack's profile picture
Shadrack3 years ago

Atunze maneno hilo jimbo ni la lema,akumbuke aliyemuweka hapo ni nguvu ya mtu mmoja tu

Reuben3453's profile picture
Reuben34533 years ago

Lema njoo uone huku ndugu yako ameanza kujamba @godbless_lema

Watu Huru🔻's profile picture
Watu Huru🔻3 years ago

Batilda tulimpa mimba hewa huyu sijui tumpe nini?

RC's profile picture
RC3 years ago

Nilipokuwa naenda kufanya mtihani wa kidato cha nne, Baba yangu alinitazama usoni na akaona nina hofu kubwa - Akanambia "Mwanangu Hofu yako haina msaada sana kwa sasa zaidi ya kukuchanganya akili" Gambo ana hofu kubwa kwa kumuangalia tu..hofu haina msaada Mh.

@See your self's profile picture
@See your self3 years ago

Hii ilikuwa comedy show ??

Alien 👽👽's profile picture
Alien 👽👽3 years ago

Hiyo ni uongo

RamDan🌿Gwataman's profile picture
RamDan🌿Gwataman3 years ago

Gambo ovyo sana

Elibahati Mamuya's profile picture
Elibahati Mamuya3 years ago

@godbless_lema Aisee unamsikia huyu jamaa..?! Njoo uchukue jimbo lako, huyu hamna lolote, labda tu ufanyike uchafuzi na sio uchaguguzi kama ilivyokua kpnd cha mwenda zake!! Njoo home Kamanda

Ma'odo's profile picture
Ma'odo3 years ago

Ndo kaongea nini sasa hapo?

Massanja M.Mpinah's profile picture
Massanja M.Mpinah3 years ago

Mbona kama ananena Kwa lugha mapema hii 😂🤣

Ba Glady's profile picture
Ba Glady3 years ago

kumbe jamaa ni senge kweli

LemmeEmKnow's profile picture
LemmeEmKnow3 years ago

Hahaha kuna watu vichwa vinawauma.Gambo alishinda au alipewa na Magufuli na tume

gesase Mrimi's profile picture
gesase Mrimi3 years ago

Mbona Kama vile amebahaa hata hajui anachoongea

barakaeli Nnko's profile picture
barakaeli Nnko3 years ago

Pumba kabisa

NJIA NI YESU's profile picture
NJIA NI YESU3 years ago

Huyukapanik wala hawezishindana na Lema

Doni Mkello's profile picture
Doni Mkello3 years ago

Ivi anajua anachokiongea huyu

Loth .Olais.Motika's profile picture
Loth .Olais.Motika3 years ago

Yaani umeonyesha jinsi ulivyo dhaifu kisiasa ,watu wanataka kujua ufanya nini ? Arusha ,wwe unatuletea upuuzi

Shayo's profile picture
Shayo3 years ago

Haya ni madhara ya kuwekwa kwenye kiti kwa dhulma,presha haziishi

Kevin's profile picture
Kevin3 years ago

Washaanza kutapatapa. 😂😂 Tarehe 21 tunakiwashaa.

Active Shooter..'s profile picture
Active Shooter..3 years ago

Mbona amepaniki.

mutey15's profile picture
mutey153 years ago

Bwana Lema tunakuomba usimjibu chochote msenge huyu,nguruwe pori,tuachie sisi tumjaze shahawa mdomoni mwake kwa sababu ana kiu sana! ok?

beberu mweusi's profile picture
beberu mweusi3 years ago

Anaongea kwa hofu sana! Kama alisema serikal walikuja na kondom na mafuta la lotions huyu yupo salama kweli?

Related Videos

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amemtaka Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (DAWASA), Kiunga Kingu, akae pembeni ya majukumu yake kwa muda, pia amemsimamisha kazi, Mkurugenzi wa Uzalishaji na Usambazaji Maji-DAWASA, Shaban Mkwanywe na kuanzia leo June 30,2024 ameiweka DAWASA chini ya uangalizi maalum wa Wizara ya Maji ili kuboresha utendaji wake kufuatia uzembe uliopelekea visima kukosa maji na kufanya Wakazi wa Dar es salaam kukosa maji. Aweso ametangaza uamuzi huo leo baada ya kufanya ziara ya kimkakati na ya kushtukiza katika Ofisi za DAWASA zilizopo Ubungo Dar es salaam ili kupata maelezo ya Watendaji ya sababu za Watu kukosa maji na baada ya kushindwa kuridhishwa na majibu aliamua kuzungukia matanki ya maji katika maeneo manne tofauti ikiwemo tanki la Ardhi UDSM na Kibamba huku akituma Timu nyingine kwenda kukagua matanki ya Kigamboni ambapo imebainika matanki kadhaa hayana maji huku mengine yakiwa na maji kidogo ukilinganisha na mahitaji ya Wananchi lakini Watendaji wa DAWASA wameshindwa kueleza sababu iliyopelekea uhaba huo wa maji. Aweso amesema “Mwanzoni kulipokuwa kunakosekana maji tulikuwa tunasema shida ni vyanzo vya maji vimekauka hakuna maji, TANESCO umeme hamna lakini leo vyanzo vyote vina maji, umeme upo, niambieni kwanini hatuna maji kwenye matanki?, kwanini Wananchi wanateseka, wanalalamika wanapiga kelele kwenye Serikali, niiombe Bodi kama CEO DAWASA hajaenda likizo kidogo akakae likizo kwanza atuachie nafasi yetu tutaisimamia wenyewe” Ziara ya Aweso leo imekuja baada ya ziara ya Katibu Mkuu wa Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri aliyoifanya kwa siku mbili kujionea utendaji kazi wa DAWASA na hali ya upatikanaji wa maji Dar es salaam ambapo amebaini uzembe aliouwasilisha kwa Waziri Aweso leo ikiwemo miundombinu ya maji kuwa chakavu, maji kupotea bila usimamizi, Watendaji wa DAWASA wa ngazi za chini kutopewa stahiki zao muhimu na kupelekea kufanya kazi bila hamasa nzuri na hata kupelekea kuwajibu vibaya Wateja wa maji. #MillardAyoUPDATES

millardayo

66,035 views • 2 years ago