Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Maji utaita mma.

56,534 просмотров • 3 лет назад •via X (Twitter)

Комментарии: 31

Фото профиля geofrey michael
geofrey michael3 лет назад

Duh kweli wanasiasa wengi hawana hoja yoyote zaidi ya kuongea utopolo tu.

Фото профиля Che Cliff 🇷🇺
Che Cliff 🇷🇺3 лет назад

😂😂😂😂 "Kwan Hamjua Kwamba Ni Mjomba Wangu Yule." Kuna ka adabu flani kameingia, ka hofu, ka mashaka, ka wasiwasi...Njoo LEMA mjomba wako kakumiss

Фото профиля Augustino
Augustino3 лет назад

Ukimtaja Lema kwenye jukwaa unazidi kupunguza kura zako, nakushauri Bure kabisa usimtaje Lema kabisa itakusaidia. Ni ushauri tu lakini.

Фото профиля Hekimatupu
Hekimatupu3 лет назад

Mkuu mwache ajifurahishe na chawa wake. Mh Lema hapaswi kabisa kumjibu, maana atampa ujiko/umaarufu ambao hastahili.

Фото профиля Depedro Dee (Ed.S.)
Depedro Dee (Ed.S.)3 лет назад

@godbless_lema shakuterewa wooi mbe... Wuya kyen lulakane na nndu yeu.

Фото профиля Giiti SN
Giiti SN3 лет назад

Gambo ameshadata tayari, ameanza kunena kwa Lugha mapema sana.

Фото профиля Malick
Malick3 лет назад

@godbless_lema nilimsikiliza Godbless Lema nikiwa mdogo kupitia kwa Redio , @TBCtaifa , kwenye kipindi Cha uchaguzi walikuwa na kipindi kinaitwa “Mchakato Majimboni” kitu hicho. Kuongea kanakwamba mambo yameshatokea, hiyo binafsi ilinikosha.

Фото профиля ULIZA MDUDESOKA
ULIZA MDUDESOKA3 лет назад

Kuruhusiwa kwa mikutano kumewavuruga Ndezi wote waliopita bila kupingwa. Wanaona Salama yao ni kutembelea nyota ya viongozi wa CHADEMA.

Фото профиля Ndunguru
Ndunguru3 лет назад

Anavyoongea tu hajiamini na watu wamemshtukia

Фото профиля Shadrack
Shadrack3 лет назад

Atunze maneno hilo jimbo ni la lema,akumbuke aliyemuweka hapo ni nguvu ya mtu mmoja tu

Фото профиля Reuben3453
Reuben34533 лет назад

Lema njoo uone huku ndugu yako ameanza kujamba @godbless_lema

Фото профиля Watu Huru🔻
Watu Huru🔻3 лет назад

Batilda tulimpa mimba hewa huyu sijui tumpe nini?

Фото профиля RC
RC3 лет назад

Nilipokuwa naenda kufanya mtihani wa kidato cha nne, Baba yangu alinitazama usoni na akaona nina hofu kubwa - Akanambia "Mwanangu Hofu yako haina msaada sana kwa sasa zaidi ya kukuchanganya akili" Gambo ana hofu kubwa kwa kumuangalia tu..hofu haina msaada Mh.

Фото профиля @See your self
@See your self3 лет назад

Hii ilikuwa comedy show ??

Фото профиля Alien 👽👽
Alien 👽👽3 лет назад

Hiyo ni uongo

Фото профиля RamDan🌿Gwataman
RamDan🌿Gwataman3 лет назад

Gambo ovyo sana

Фото профиля Elibahati Mamuya
Elibahati Mamuya3 лет назад

@godbless_lema Aisee unamsikia huyu jamaa..?! Njoo uchukue jimbo lako, huyu hamna lolote, labda tu ufanyike uchafuzi na sio uchaguguzi kama ilivyokua kpnd cha mwenda zake!! Njoo home Kamanda

Фото профиля Ma'odo
Ma'odo3 лет назад

Ndo kaongea nini sasa hapo?

Фото профиля Massanja M.Mpinah
Massanja M.Mpinah3 лет назад

Mbona kama ananena Kwa lugha mapema hii 😂🤣

Фото профиля Ba Glady
Ba Glady3 лет назад

kumbe jamaa ni senge kweli

Фото профиля LemmeEmKnow
LemmeEmKnow3 лет назад

Hahaha kuna watu vichwa vinawauma.Gambo alishinda au alipewa na Magufuli na tume

Фото профиля gesase Mrimi
gesase Mrimi3 лет назад

Mbona Kama vile amebahaa hata hajui anachoongea

Фото профиля barakaeli Nnko
barakaeli Nnko3 лет назад

Pumba kabisa

Фото профиля NJIA NI YESU
NJIA NI YESU3 лет назад

Huyukapanik wala hawezishindana na Lema

Фото профиля Doni Mkello
Doni Mkello3 лет назад

Ivi anajua anachokiongea huyu

Фото профиля Loth .Olais.Motika
Loth .Olais.Motika3 лет назад

Yaani umeonyesha jinsi ulivyo dhaifu kisiasa ,watu wanataka kujua ufanya nini ? Arusha ,wwe unatuletea upuuzi

Фото профиля Shayo
Shayo3 лет назад

Haya ni madhara ya kuwekwa kwenye kiti kwa dhulma,presha haziishi

Фото профиля Kevin
Kevin3 лет назад

Washaanza kutapatapa. 😂😂 Tarehe 21 tunakiwashaa.

Фото профиля Active Shooter..
Active Shooter..3 лет назад

Mbona amepaniki.

Фото профиля mutey15
mutey153 лет назад

Bwana Lema tunakuomba usimjibu chochote msenge huyu,nguruwe pori,tuachie sisi tumjaze shahawa mdomoni mwake kwa sababu ana kiu sana! ok?

Фото профиля beberu mweusi
beberu mweusi3 лет назад

Anaongea kwa hofu sana! Kama alisema serikal walikuja na kondom na mafuta la lotions huyu yupo salama kweli?

Похожие видео

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amemtaka Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (DAWASA), Kiunga Kingu, akae pembeni ya majukumu yake kwa muda, pia amemsimamisha kazi, Mkurugenzi wa Uzalishaji na Usambazaji Maji-DAWASA, Shaban Mkwanywe na kuanzia leo June 30,2024 ameiweka DAWASA chini ya uangalizi maalum wa Wizara ya Maji ili kuboresha utendaji wake kufuatia uzembe uliopelekea visima kukosa maji na kufanya Wakazi wa Dar es salaam kukosa maji. Aweso ametangaza uamuzi huo leo baada ya kufanya ziara ya kimkakati na ya kushtukiza katika Ofisi za DAWASA zilizopo Ubungo Dar es salaam ili kupata maelezo ya Watendaji ya sababu za Watu kukosa maji na baada ya kushindwa kuridhishwa na majibu aliamua kuzungukia matanki ya maji katika maeneo manne tofauti ikiwemo tanki la Ardhi UDSM na Kibamba huku akituma Timu nyingine kwenda kukagua matanki ya Kigamboni ambapo imebainika matanki kadhaa hayana maji huku mengine yakiwa na maji kidogo ukilinganisha na mahitaji ya Wananchi lakini Watendaji wa DAWASA wameshindwa kueleza sababu iliyopelekea uhaba huo wa maji. Aweso amesema “Mwanzoni kulipokuwa kunakosekana maji tulikuwa tunasema shida ni vyanzo vya maji vimekauka hakuna maji, TANESCO umeme hamna lakini leo vyanzo vyote vina maji, umeme upo, niambieni kwanini hatuna maji kwenye matanki?, kwanini Wananchi wanateseka, wanalalamika wanapiga kelele kwenye Serikali, niiombe Bodi kama CEO DAWASA hajaenda likizo kidogo akakae likizo kwanza atuachie nafasi yetu tutaisimamia wenyewe” Ziara ya Aweso leo imekuja baada ya ziara ya Katibu Mkuu wa Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri aliyoifanya kwa siku mbili kujionea utendaji kazi wa DAWASA na hali ya upatikanaji wa maji Dar es salaam ambapo amebaini uzembe aliouwasilisha kwa Waziri Aweso leo ikiwemo miundombinu ya maji kuwa chakavu, maji kupotea bila usimamizi, Watendaji wa DAWASA wa ngazi za chini kutopewa stahiki zao muhimu na kupelekea kufanya kazi bila hamasa nzuri na hata kupelekea kuwajibu vibaya Wateja wa maji. #MillardAyoUPDATES

millardayo

66,035 просмотров • 2 лет назад