Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

56,534 görüntüleme • 3 yıl önce •via X (Twitter)

31 Yorum

geofrey michael profil fotoğrafı
geofrey michael3 yıl önce

Duh kweli wanasiasa wengi hawana hoja yoyote zaidi ya kuongea utopolo tu.

Che Cliff 🇷🇺 profil fotoğrafı
Che Cliff 🇷🇺3 yıl önce

😂😂😂😂 "Kwan Hamjua Kwamba Ni Mjomba Wangu Yule." Kuna ka adabu flani kameingia, ka hofu, ka mashaka, ka wasiwasi...Njoo LEMA mjomba wako kakumiss

Augustino profil fotoğrafı
Augustino3 yıl önce

Ukimtaja Lema kwenye jukwaa unazidi kupunguza kura zako, nakushauri Bure kabisa usimtaje Lema kabisa itakusaidia. Ni ushauri tu lakini.

Hekimatupu profil fotoğrafı
Hekimatupu3 yıl önce

Mkuu mwache ajifurahishe na chawa wake. Mh Lema hapaswi kabisa kumjibu, maana atampa ujiko/umaarufu ambao hastahili.

Depedro Dee (Ed.S.) profil fotoğrafı
Depedro Dee (Ed.S.)3 yıl önce

@godbless_lema shakuterewa wooi mbe... Wuya kyen lulakane na nndu yeu.

Giiti SN profil fotoğrafı
Giiti SN3 yıl önce

Gambo ameshadata tayari, ameanza kunena kwa Lugha mapema sana.

Malick profil fotoğrafı
Malick3 yıl önce

@godbless_lema nilimsikiliza Godbless Lema nikiwa mdogo kupitia kwa Redio , @TBCtaifa , kwenye kipindi Cha uchaguzi walikuwa na kipindi kinaitwa “Mchakato Majimboni” kitu hicho. Kuongea kanakwamba mambo yameshatokea, hiyo binafsi ilinikosha.

ULIZA MDUDESOKA profil fotoğrafı
ULIZA MDUDESOKA3 yıl önce

Kuruhusiwa kwa mikutano kumewavuruga Ndezi wote waliopita bila kupingwa. Wanaona Salama yao ni kutembelea nyota ya viongozi wa CHADEMA.

Ndunguru profil fotoğrafı
Ndunguru3 yıl önce

Anavyoongea tu hajiamini na watu wamemshtukia

Shadrack profil fotoğrafı
Shadrack3 yıl önce

Atunze maneno hilo jimbo ni la lema,akumbuke aliyemuweka hapo ni nguvu ya mtu mmoja tu

Reuben3453 profil fotoğrafı
Reuben34533 yıl önce

Lema njoo uone huku ndugu yako ameanza kujamba @godbless_lema

Watu Huru🔻 profil fotoğrafı
Watu Huru🔻3 yıl önce

Batilda tulimpa mimba hewa huyu sijui tumpe nini?

RC profil fotoğrafı
RC3 yıl önce

Nilipokuwa naenda kufanya mtihani wa kidato cha nne, Baba yangu alinitazama usoni na akaona nina hofu kubwa - Akanambia "Mwanangu Hofu yako haina msaada sana kwa sasa zaidi ya kukuchanganya akili" Gambo ana hofu kubwa kwa kumuangalia tu..hofu haina msaada Mh.

@See your self profil fotoğrafı
@See your self3 yıl önce

Hii ilikuwa comedy show ??

Alien 👽👽 profil fotoğrafı
Alien 👽👽3 yıl önce

Hiyo ni uongo

RamDan🌿Gwataman profil fotoğrafı
RamDan🌿Gwataman3 yıl önce

Gambo ovyo sana

Elibahati Mamuya profil fotoğrafı
Elibahati Mamuya3 yıl önce

@godbless_lema Aisee unamsikia huyu jamaa..?! Njoo uchukue jimbo lako, huyu hamna lolote, labda tu ufanyike uchafuzi na sio uchaguguzi kama ilivyokua kpnd cha mwenda zake!! Njoo home Kamanda

Ma'odo profil fotoğrafı
Ma'odo3 yıl önce

Ndo kaongea nini sasa hapo?

Massanja M.Mpinah profil fotoğrafı
Massanja M.Mpinah3 yıl önce

Mbona kama ananena Kwa lugha mapema hii 😂🤣

Ba Glady profil fotoğrafı
Ba Glady3 yıl önce

kumbe jamaa ni senge kweli

LemmeEmKnow profil fotoğrafı
LemmeEmKnow3 yıl önce

Hahaha kuna watu vichwa vinawauma.Gambo alishinda au alipewa na Magufuli na tume

gesase Mrimi profil fotoğrafı
gesase Mrimi3 yıl önce

Mbona Kama vile amebahaa hata hajui anachoongea

barakaeli Nnko profil fotoğrafı
barakaeli Nnko3 yıl önce

Pumba kabisa

NJIA NI YESU profil fotoğrafı
NJIA NI YESU3 yıl önce

Huyukapanik wala hawezishindana na Lema

Doni Mkello profil fotoğrafı
Doni Mkello3 yıl önce

Ivi anajua anachokiongea huyu

Loth .Olais.Motika profil fotoğrafı
Loth .Olais.Motika3 yıl önce

Yaani umeonyesha jinsi ulivyo dhaifu kisiasa ,watu wanataka kujua ufanya nini ? Arusha ,wwe unatuletea upuuzi

Shayo profil fotoğrafı
Shayo3 yıl önce

Haya ni madhara ya kuwekwa kwenye kiti kwa dhulma,presha haziishi

Kevin profil fotoğrafı
Kevin3 yıl önce

Washaanza kutapatapa. 😂😂 Tarehe 21 tunakiwashaa.

Active Shooter.. profil fotoğrafı
Active Shooter..3 yıl önce

Mbona amepaniki.

mutey15 profil fotoğrafı
mutey153 yıl önce

Bwana Lema tunakuomba usimjibu chochote msenge huyu,nguruwe pori,tuachie sisi tumjaze shahawa mdomoni mwake kwa sababu ana kiu sana! ok?

beberu mweusi profil fotoğrafı
beberu mweusi3 yıl önce

Anaongea kwa hofu sana! Kama alisema serikal walikuja na kondom na mafuta la lotions huyu yupo salama kweli?

Benzer Videolar

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amemtaka Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (DAWASA), Kiunga Kingu, akae pembeni ya majukumu yake kwa muda, pia amemsimamisha kazi, Mkurugenzi wa Uzalishaji na Usambazaji Maji-DAWASA, Shaban Mkwanywe na kuanzia leo June 30,2024 ameiweka DAWASA chini ya uangalizi maalum wa Wizara ya Maji ili kuboresha utendaji wake kufuatia uzembe uliopelekea visima kukosa maji na kufanya Wakazi wa Dar es salaam kukosa maji. Aweso ametangaza uamuzi huo leo baada ya kufanya ziara ya kimkakati na ya kushtukiza katika Ofisi za DAWASA zilizopo Ubungo Dar es salaam ili kupata maelezo ya Watendaji ya sababu za Watu kukosa maji na baada ya kushindwa kuridhishwa na majibu aliamua kuzungukia matanki ya maji katika maeneo manne tofauti ikiwemo tanki la Ardhi UDSM na Kibamba huku akituma Timu nyingine kwenda kukagua matanki ya Kigamboni ambapo imebainika matanki kadhaa hayana maji huku mengine yakiwa na maji kidogo ukilinganisha na mahitaji ya Wananchi lakini Watendaji wa DAWASA wameshindwa kueleza sababu iliyopelekea uhaba huo wa maji. Aweso amesema “Mwanzoni kulipokuwa kunakosekana maji tulikuwa tunasema shida ni vyanzo vya maji vimekauka hakuna maji, TANESCO umeme hamna lakini leo vyanzo vyote vina maji, umeme upo, niambieni kwanini hatuna maji kwenye matanki?, kwanini Wananchi wanateseka, wanalalamika wanapiga kelele kwenye Serikali, niiombe Bodi kama CEO DAWASA hajaenda likizo kidogo akakae likizo kwanza atuachie nafasi yetu tutaisimamia wenyewe” Ziara ya Aweso leo imekuja baada ya ziara ya Katibu Mkuu wa Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri aliyoifanya kwa siku mbili kujionea utendaji kazi wa DAWASA na hali ya upatikanaji wa maji Dar es salaam ambapo amebaini uzembe aliouwasilisha kwa Waziri Aweso leo ikiwemo miundombinu ya maji kuwa chakavu, maji kupotea bila usimamizi, Watendaji wa DAWASA wa ngazi za chini kutopewa stahiki zao muhimu na kupelekea kufanya kazi bila hamasa nzuri na hata kupelekea kuwajibu vibaya Wateja wa maji. #MillardAyoUPDATES

millardayo

66,035 görüntüleme • 2 yıl önce