正在加载视频...
视频加载失败
Makofi mengii kwa Semaji la CAF
60,226 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)
9 条评论

Kuna wakati Msemaji unatakiwa ulie pamoja na wenzako wanao Lia , Muda Huu watu tunaomboleza Msiba wa Kiongozi wa Chadema aliyetekwa na kuuwawa kikatili, wewe upo bize na mambo ya kujiita semaji la CAF, wanaotekwa na kuuwawa Ni pamoja na mashabiki wanaofanya wewe ujiite semaji

Tuna msiba muwe na huruma basi japo sio wa familia yenu

Medi uku kuna msiba,,, acha utoto medi

Wewe wenzako wanatekwa na kuuwawa kikatili unatueleza habari ya makofi mengi, kuna siku mtafikiwa na mtaungana na wananchi wenzenu kunena lugha moja😏😏😏🚮

Ww naye, kila wkt mipira badala ukemee utekaji, siku yakigeukia kwako tutakaa kimya wakunyonye...

Yanayoendelea kwenye nchii hii huyaoni au ndo hayakuhusu inawezekana mzee aliyeuliwa alikuwa mwanachama wenu na shabiki yenu mmebakiza upambe tuuuu

Tunaomboleza kenge ww

Semaji la FIFA 🔥😹

Afu na wew ebu acheni upumbavu...yaani watu ambao ni mashabiki wa timu zenu wanaofanya nyie mnaishi na kuzidi kupiga hatua watekwa na kupotezwa kila siku lkn Mmekaa kimya tuu hamsemi lolote Saiv unakuja hapa et makofi mengi sanaa Makofi ya nyokooo🚮

