Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Makofi mengii kwa Semaji la CAF

60,226 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 9

Фото профиля Kiungo Mkomavu
Kiungo Mkomavu1 год назад

Kuna wakati Msemaji unatakiwa ulie pamoja na wenzako wanao Lia , Muda Huu watu tunaomboleza Msiba wa Kiongozi wa Chadema aliyetekwa na kuuwawa kikatili, wewe upo bize na mambo ya kujiita semaji la CAF, wanaotekwa na kuuwawa Ni pamoja na mashabiki wanaofanya wewe ujiite semaji

Фото профиля Malalo Adam
Malalo Adam1 год назад

Tuna msiba muwe na huruma basi japo sio wa familia yenu

Фото профиля MZARAMO
MZARAMO1 год назад

Medi uku kuna msiba,,, acha utoto medi

Фото профиля Bahati Shio
Bahati Shio1 год назад

Wewe wenzako wanatekwa na kuuwawa kikatili unatueleza habari ya makofi mengi, kuna siku mtafikiwa na mtaungana na wananchi wenzenu kunena lugha moja😏😏😏🚮

Фото профиля PEng. Seth Wilson
PEng. Seth Wilson1 год назад

Ww naye, kila wkt mipira badala ukemee utekaji, siku yakigeukia kwako tutakaa kimya wakunyonye...

Фото профиля ℤ𝕀ℂ𝕆
ℤ𝕀ℂ𝕆1 год назад

Yanayoendelea kwenye nchii hii huyaoni au ndo hayakuhusu inawezekana mzee aliyeuliwa alikuwa mwanachama wenu na shabiki yenu mmebakiza upambe tuuuu

Фото профиля 888
8881 год назад

Tunaomboleza kenge ww

Фото профиля 𝕄𝕣. 𝔹𝕖𝕖🍯🇹🇿
𝕄𝕣. 𝔹𝕖𝕖🍯🇹🇿1 год назад

Semaji la FIFA 🔥😹

Фото профиля Iconic 👑
Iconic 👑1 год назад

Afu na wew ebu acheni upumbavu...yaani watu ambao ni mashabiki wa timu zenu wanaofanya nyie mnaishi na kuzidi kupiga hatua watekwa na kupotezwa kila siku lkn Mmekaa kimya tuu hamsemi lolote Saiv unakuja hapa et makofi mengi sanaa Makofi ya nyokooo🚮

Похожие видео