Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Makubwa, kwamba serikaili nini? 😂😂😂
116,936 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
11 Kommentare

Ccm ndio wanapenda vyande kama ivi😁 Huyu anaweza chambua GDP , import-export imbalance, Local Ppl Natural resources ownership agenda,inflation effects, Our Purchasing Power Failure na role ya goverment to Remedy? Taka taka kama hizi ndio zipo nyingi kweli🚮

Heshimu mkuu wa Wilaya wewe jamaa, 😂😂😂

💪 Merica, we're taking it back. 💯 You like Trump, you know it, time to show it. ✅ T's for Trump here:

Aiseee huyu anaweza kua mkuu wa wilaya

Mapema sana, 😂

Mwalimu wangu wakati nipo chuo uko Nairobi TUK aliwahi nambia unaweza ukaona mdada mzuri au mkaka wamevaa vizuri wamechomekea smart kabisa lakini muulize swali moja usikie atakavyokujibu. Hii ndo kitu naona hapa. Kichwani ni hamna kitu kichwa ni empty 🚮

Yaani, 😂

Hawa waendelee kupika th nyumbani

Ni kazuri mashallah! sema hakana ubongo.

Serikali imeleta live Tiktok, Imeleta social media😂😂 nacheka kama mazuri ila sijui wanawake wa kuoa vijana watatoa wapi kama hawa ndo waliobaki🙌🏻

Mwanamke mzur asie na akili ni sawa na Pete ya dhahabu kwenye pua nguruwe
