Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

Mapembelo Cargo walipata shida gani kwani?

69,757 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

11 Yorum

andile Zuma's profil fotoğrafı
andile Zuma's1 yıl önce

Tatizo tanzania serikali ni matapeli lazima makampuni pia yawe ya kitapeli Yani hata makampuni ya kuuza viwanja matapeli nchi inaongozwa kitapeli ndio maana uwizi na dhulma kila sehemu

Arosha🥷🏿 profil fotoğrafı
Arosha🥷🏿1 yıl önce

Kikao mlifanya na mkuu wa mkoa yule jamaa?

P R E M I U M . profil fotoğrafı
P R E M I U M .1 yıl önce

Hizi cargo mkuu ni kichefuchefu, silent ocean & Unique cargo ndio zimenyooka

BORA KAFA aka BOB MAZISHI. profil fotoğrafı
BORA KAFA aka BOB MAZISHI.1 yıl önce

Mkome nyie wafanya bishara kutaka cha juu sasa cha juu kinawatokea puani na mkome wateja mmliowapa Pesa hawa wafanyabiashara wawaagizie mizigo, mbona machimbo yte ypo kkoo hapo, mmtajijua na mapumbulo cargo yenu.

​🇲​​🇦​​🇱​​🇨​​🇴​​🇱​​🇲​ ​🇽​ profil fotoğrafı
​🇲​​🇦​​🇱​​🇨​​🇴​​🇱​​🇲​ ​🇽​1 yıl önce

Mzigo wangu ulienda Cargo kwao tokea October mpaka leo dadec sina ham.

Best Wallet profil fotoğrafı
Best Wallet1 yıl önce

🚀 Best Wallet - The only multi-chain #crypto wallet you need 💸

GOA MOTORS profil fotoğrafı
GOA MOTORS1 yıl önce

Wachina wamekua tatizo sana Wanakubali kupakia mizigo ya watu bila pesa au pesa kidogo alafu mzigo ukishafingwa kwenye makasha anagoma kuto nyalaka za kusafirishia mpaka apewe pesa yote Wakati wakala huku anataka mzigo ufike ndioo apewe pesa iliyobaki Kwa MTEJA

@ Mbwana🇹🇿 profil fotoğrafı
@ Mbwana🇹🇿1 yıl önce

Yaani ipo hivi mizigo yote ambayo ni consolidated Kwa utaratibu mpya inatakiwa Kila mzigo ulipiwe kodi Kwa TIN NUMBER yake. Kwahyo tusije kushangaa makampuni mengi yacargo kuacha kusafirisha mizigo ya loose cargo kwani haitakua na faida Tena.

Pizallo profil fotoğrafı
Pizallo1 yıl önce

Usikute mapembelo ni WINGA

Wise Man profil fotoğrafı
Wise Man1 yıl önce

Ndugu zangu Watanganyika, hvi mnawaonage kina Babalevo na Mwinjaku kama wendawazimu? ukiona kampuni inapigiwa debe sana na CHAWA Jua ni ya uhakika, Hivi kampuni inaitwa mapembelo mnaidhamini pesa ndio tatizo

Job Thomas profil fotoğrafı
Job Thomas1 yıl önce

Video bado haijafikisha ujumbe anaotaka ufike , but me kwa experience yangu inaonekana shipping agent ameshindwa kulipa kodi, na hapa hakuna cha serikali kuingilia kati , serikali ndio imeshikiria mzigo, siwezi kusema kila kitu hapa but it seem hapa shipper ameamua kuditch mzigo.

Benzer Videolar