Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Mapembelo Cargo walipata shida gani kwani?
69,757 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)
11 Yorum

Tatizo tanzania serikali ni matapeli lazima makampuni pia yawe ya kitapeli Yani hata makampuni ya kuuza viwanja matapeli nchi inaongozwa kitapeli ndio maana uwizi na dhulma kila sehemu

Kikao mlifanya na mkuu wa mkoa yule jamaa?

Hizi cargo mkuu ni kichefuchefu, silent ocean & Unique cargo ndio zimenyooka

Mkome nyie wafanya bishara kutaka cha juu sasa cha juu kinawatokea puani na mkome wateja mmliowapa Pesa hawa wafanyabiashara wawaagizie mizigo, mbona machimbo yte ypo kkoo hapo, mmtajijua na mapumbulo cargo yenu.

Mzigo wangu ulienda Cargo kwao tokea October mpaka leo dadec sina ham.

🚀 Best Wallet - The only multi-chain #crypto wallet you need 💸

Wachina wamekua tatizo sana Wanakubali kupakia mizigo ya watu bila pesa au pesa kidogo alafu mzigo ukishafingwa kwenye makasha anagoma kuto nyalaka za kusafirishia mpaka apewe pesa yote Wakati wakala huku anataka mzigo ufike ndioo apewe pesa iliyobaki Kwa MTEJA

Yaani ipo hivi mizigo yote ambayo ni consolidated Kwa utaratibu mpya inatakiwa Kila mzigo ulipiwe kodi Kwa TIN NUMBER yake. Kwahyo tusije kushangaa makampuni mengi yacargo kuacha kusafirisha mizigo ya loose cargo kwani haitakua na faida Tena.

Usikute mapembelo ni WINGA

Ndugu zangu Watanganyika, hvi mnawaonage kina Babalevo na Mwinjaku kama wendawazimu? ukiona kampuni inapigiwa debe sana na CHAWA Jua ni ya uhakika, Hivi kampuni inaitwa mapembelo mnaidhamini pesa ndio tatizo

Video bado haijafikisha ujumbe anaotaka ufike , but me kwa experience yangu inaonekana shipping agent ameshindwa kulipa kodi, na hapa hakuna cha serikali kuingilia kati , serikali ndio imeshikiria mzigo, siwezi kusema kila kitu hapa but it seem hapa shipper ameamua kuditch mzigo.
