Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Mawazo yangu juu ya huu mjadala 😊
24,303 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
11 Kommentare

Ni sawa na kusema calculator inaharibu kazi ya wahasibu.

😂 kweli kaka

Siyo tu AI, hata teknolojia ya kawaida imewafanya wavivu. Na ni wavivu pia hata katika hiyo. Ni ajabu kusikia mwandishi wa habari anayelipwa mshahara akiibuka studioni na habari ya mitandao ya juzi, ambayo jana imejadiliwa na vijana wa vijiweni wasiokuwa na ajira!

Nadhani sio waandishi Tu, hata tasnia yote itakuwa "computerized ". Kwa ufupi AI itaua kabisa uwezo wa waandishi wa habari kuchunguza, kufuatilia, na kufanya tafiti. Mathalani, Mimi Kwa sasa Naweza kutumia AI kupata habari na Naweza nikasambaza hiyo habari bila kuwa mwandishi.

the drop on this is wild

Kwa mswahili matumizi ya namna hiyo ya "teke linalokujia" wanaona kama "cheating" 🤣! Kuna tatizo la kimfumo nafikiri, kama vile kuteseka kufanikisha kitu ni sifa. Huwa hatuangalii matokeo - urahisi wa kufanikisha kitu, kuongezeka kwa upatikanaji wa taarifa na maarifa n.k

Ni kweli kabisa, siku hizi tumekuwa na waandishi wa mwendokasi au vodafasta

Hio Tshirt wanauza wap Boss😂

We nawe mbwembwe nyingi tulia kaka BBC siku hizi hakuna weledi tulozoea

sio waandishi tu’

Wengine tulishalizungumza hili
