正在加载视频...

视频加载失败

Mengine NAWAACHIA WENYEWE Mseme 👇

48,627 次观看 • 2 年前 •via X (Twitter)

10 条评论

Afya Yangu 💊 的头像
Afya Yangu 💊2 年前

Rest in peace the Africa Legend JPM still we remember you even you have passed in our eye 😭😭😭😭

International Herb 的头像
International Herb2 年前

“Watanzania mtanikumbuka, na mimi nataka mnikumbuke kwa mazuri sio kwa Mabaya” 😭😭😭😭

259 的头像
2592 年前

Ohh leo kawa mazuri ehh. Yake ya demokrasia sijui, wapinzani, sijui vyombo vya habari, sijui dictator sijui, mahakama, ohh uchafuzi 2020, ohh sijui CAG etc ni mengi. Ila wanasiasa ni mtihani sana hawa

Ones'more 的头像
Ones'more2 年前

Ningemsifu sana kama tu angetupatia "KATIBA"ambayo ingelinda rasimali zetu ,hata angeondoka yeye ,rasimali zetu zingelindwa kwa mujibu wa katiba hiyo,yote aliyoona hayafai ,yamegeuzwa yanafaa,ona swala la Bandari kwa mfano,#KATIBA MPYA NI SASA

USHINDI NI WETU RUDISHA MALI 的头像
USHINDI NI WETU RUDISHA MALI2 年前

Pamoja na kuwa dikteta aliweza kuzibiti rushwa

𝘿𝙧.𝘽𝙚𝙣 𝙆𝙖𝙢𝙖𝙣𝙮𝙤𝙡𝙖| 🩺 的头像
𝘿𝙧.𝘽𝙚𝙣 𝙆𝙖𝙢𝙖𝙣𝙮𝙤𝙡𝙖| 🩺2 年前

Utaanzia watu kuwaambia wapi mpaka wakuelewe na wewe ulikuwa mstari wa mbele kumponda?

simon simumba 的头像
simon simumba2 年前

Kaka wewe ndo umepost hii? Dah ogopa ,si ndo nyie nyie

Katiki Lamsala 的头像
Katiki Lamsala2 年前

Hawa maprofesa sijui nini huwa kinawachanganya. Prof Kababudi, huyu ana sifa yakuwa na ufaulu mzuri pale UDSM. Lakini alikuja kumuita Rais Mungu! Angalau huyu alikuwa analinda mkate wake, lakini Prof Lumumba hakuwa na cha kupoteza. Kwanini hakuangalia upnde wa pili wa shilingi?

Dada Wa Kazi Za Ndani 的头像
Dada Wa Kazi Za Ndani2 年前

Dah! Naogopa saana kifo, sijui nikifa naenda wapi wajameni.

Asd4real. 的头像
Asd4real.2 年前

Ninyi ndio mliowapa nguvu wabaya watumie ubaya wao dhid yake. Mlimkalia kooni kw mabaya ili wabaya wapete nafasi ya kufanya yao kwao. Ninyi ni wabaya San kwetu.

相关视频